Saturday, May 07, 2005

Wapinzani Igeni kwa Howard

Bwana Michael Howard Kiongozi wa Chama cha Conservative huko Uingereza anaachia uongozi ili kumpisha mtu mwingine kuongoza chama hicho. Baada ya jitihada zake za kurudisha chama chake madarakani kushindwa kwa mara mbili mfululizo kaamua kujitoa nje licha ya safari hii kufanya vizuri ikilinganishwa na wakati wa uchaguzi uliopita. Wale wagombea urais wa maisha wa upande wa upinzani Tanzania anaowasema Macha nadhani wamemsikia. Tunatarajia watajifunza toka kwake. Soma habari hiyo hapa

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI