Tuesday, May 03, 2005

Ulaya Mwaendafanyani?

Kuna majigambo kwamba huduma za afya zimeimarishwa sana Tanzania sasa hivi. Kwa kiasi gani si ngumu kuelewa. Kama huduma zingekuwa nzuri na za kuridhisha tusingeona wazito wakihaha kwenda ulaya na Afrika Kusini kutibiwa magojwa yanayotibika hapo kwetu. Kama kweli huduma zimeimarika Ulaya mwaendafanyani? Nauliza. Tukutane wote Muhimbili basi ili kieleweke kwamba mambo ni barabara.

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI