Saturday, May 07, 2005

Msome Mzee Wa Kiraracha

"Bw. Mrema akasema ni rahisi Osama kupatikana, kuliko Kikwete kupenyeza mabadiliko katikati ya vigogo wa CCM. ?Ili Kikwete awe mnyama msafi, kwanza anatakiwa akaushe tope la CCM, kwa kukifumua Chama hicho na kukisuka upya. Kuondoa wachafu wote ambao wamekula tangu uhuru, hapo kidogo ataona mwanga, vinginevyo, atakuwa anajisumbua" . Msome zaidi hapa. Usisahau kwamba huyu pia ni mzee wa ruzuku.

1Comments:

At 6:51 PM, Anonymous Anonymous said...

Mrema katoa kali kuliko zote. kuna ukweli flani apo

 

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI