Saturday, May 07, 2005

Kupokea kwa kishindo

"Au kama wanaompokea wana kazi, basi kiongozi huyo ajue kuwa shughuli za uzalishaji katika taifa lenye matajiri asilimia moja na masikini asilimia 99 zimesimama". Hii ni nukuu toka kwa msomaji wa blogu hii kufuatia kale katabia nilikokemea cha viongozi kupokelewa kwa kishindo. Nakubaliana naye moja kwa moja sina ubishi na hili.

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI