Wednesday, February 15, 2006

Naanza safari ya kuhama

Nimeanza kuhamia kwenye wordpress. Siku tatu zilizopita nilikuwa nashindwa kabisa kuingia kwenye blogger.com ili niweze kuandika mambo kwenye blogu. Pamoja na hayo nimepokea ushauri wa Ndesanjo kuwa wordpress inaendana na mabadiliko mapya yanayotokea kila mara. Unaweza kunisoma kwa kubonyeza hapa. Nitaendelea kuweka viungo vya blogu na mambo mengine taratibu.

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI