Monday, August 01, 2005

Blair na aondoke

Soma habari hii inayosema kwamba Tony Blair hafai tena kuendelea kuwa Waziri Mkuu kufuatia kitendo chake cha kusababisha mji wa London ushambuliwe kwa utitiri wa mabomu na sasa kutaka kunyang'anya wananchi baadhi ya haki zao na kuminya uhuru wao kutokana na sheria mpya za ugaidi.

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI