Tuesday, July 12, 2005

Kuna Demokrasia IMF na World Bank?

Kuna wataalam ambao wanahoji uhalali wa nchi kama Marekani kuwa na maamuzi makubwa katika vyombo vya fedha duniani yaani Benki ya Duniaa na Shirika la fedha ulimwenguni. Wanahoji pia uhalali wa nchi nyingine hasa changa kuwakilishwa na waziri wa fedha na gavana wa benki kuu tuu katika kutoa maamuzi makubwa ya nchi yao. Kwa wenye hoja kwamba nchi kubwa zina kura ya turufu kwa sababu ya mchango mkubwa, anatoa mfano wa Bill Gates kwamba yeye basi apatiwe kura kwa mfano laki moja kwa vile kipato chake kinaweza kuwa mara laki moja ya kipato cha mmarekani wa kawaida. Nisikumalizie uhondo, msome mwenyewe HAPA

2Comments:

At 2:22 PM, Anonymous Mary said...

Ni vyema demokrasia kufuata

 
At 2:23 PM, Anonymous Mary said...

Ni vizuri kuijua hiyo demokrasia

 

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI