Monday, July 04, 2005

Gadaffi aonya viongozi wenzake kuacha kuomba

Soma habari hii uone jinsi kiongozi wa Libya anavyowaonya viongozi wa Afrika kuacha kuomba kwa nchi tajiri. Nadhani waliozoea kutembeza bakuli wanamuona kama mwendawazimu fulani hivi.

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI