Tuesday, April 04, 2006

Askofu akumbushwa Mwanae

Mwenye kumwandikia baruapepe hii Askofu Severini ameniambia niiweke kwenye blogu ili watu wengine wasome kwamba "Baba Askofu" ana mtoto huko Arusha.

Date:
Wed, 15 Feb 2006 02:00:45 -0800 (PST)
From:
"Antiparth Martin"
Subject:
Mkunde!
To:
niwemugizi@iwayafrica.com
CC:
nunzio@cats-net.com, nyumba@cats-net.com, tec@cats-net.com
HTML Attachment [ Download File Save to Yahoo! Briefcase ]

Mtumishi wa Mungu, Askofu Severine Niwemugizi, Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.
Tumsifu Yesu Kristu.

Mtumishi wa Mungu,
Pole sana kwa kazi nyingi ya kuchunga kondoo. Bwana akubariki na kukuzidishia moyo mkuu. Ninakuandikia ujumbe huu kukumbusha jambo moja:

Unakumbuka siku chache kabla ya kuchaguliwa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge, ulizaa mtoto na Consolata Kyala, dada yake na Padri..... wa Jimbo Kuu la Dar-es-salaam. Padri huyo alikutunzia siri, na sisi tukanyamaza! Mtoto wako Mkunde, anaendelea kukua na sasa anasoma shule Maji ya Chai Arusha.

Ili Consolata Kyala, akae kimya, ulimjengea nyumba kule Maji ya Chai Arusha. Sasa hivi anaishi kwenye nyumba hiyo na mme wake Antiparth Martin. Hapo hapo anaendesha biashara ya Bar ijulikanayo kwa jina la Holiday Inn.

Tumesikia tetesi kwamba hivi karibuni utateuliewa kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora. Tunafikiri ni jambo la muhimu na la lazima, viongozi wa Kanisa kufahamu kwamba wewe una mtoto. Ofisi ya Askofu Mkuu ni kubwa na yenye kudai maadili ya Kanisa Katoliki.

Viongozi wa kanisa wanaweza kupuuzia jambo hili. Nawe pia unaweza kupuuzia jambo hili. Kwa vile siku hizi sayansi imepiga hatua, tutasisitiza ipimwe DNA yako na ya mtoto Mkunde. Tunataka watanzania wajue ukweli huu na ulimwengu ujue ukweli huu.

Ni matumwaini yetu kwamba utaupokea ujumbe huu na kuwajibika ipasavyo.
Tunakutakia moyo mkuu.

Kwa niaba ya waumini wenye upendo na kanisa katoliki wa Maji Chai-Arusha.
Ni, wako katika Upendo wa Kristu.
Antiparth Martin.

236Comments:

At 10:32 AM, Blogger mwandani said...

Nkya! mbona hii kali?
Suala la ngono na nyumba ndogo gumu sana, nadhani kosa kubwa la baba askofu ni - kama itathibitika kuwa ni kweli alikuwa akifanya matendo ya kuzalisha - ni unafiki.
Itapaswa aukubali ukweli na ama kuacha kazi au kuomba toba ya hadhara.
Lazima awajibike.

 
At 2:39 PM, Blogger Christian Bwaya said...

Haya sasa! Haya mambo yalisemwa sana huko nyuma lakini kwa sababu yanafanyika kisirisiri na kwa uangalifu mkubwa, hakuna aliyethubutu kuyasema hadharani. Sasa ona tena inavyokuwa mbaya kama kweli itabainika kuwa huyu Mtumishi wa Mungu alikuwa akila kondoo wake kwa uangalifu.
Watu kama hawa, ikibainika kuwa ni kweli, watakuwa wanatenda dhambi mbaya kuliko hao wengine wanaofanya wazi wazi.
Kama anavyosema Mwandani, itafaa toba ya kweli ifanyike tena hadharani kwa mtindo wa mkutano wa injili vile! (Napendekeza iwe Jangwani)
Suala hili limenifundisha kuwa unafiki bado unatawala dini zetu. Watu waovu ndio hao hao wanajidai kukemea maovu. Hawaoni maboriti yao! Kaaaazi kwelikweli!
Habari hii imenikumbusha skendo ya mfalme Daudi katika Biblia aliyefanya vitendo vya aibu kwa kutembea na Betsheba. Baada ya kufanya utumbo huo, kwa maonyo ya Nabii Nathani, Daudi ilibidi atubu hadharani na Mungu akamsamehe.
Ni kwamba kwa Mtumishi wa Bwana kama huyu, dhambi hii si ya kutubia kisirisiri, maana imesababisha madhara makubwa kwa watu wengine. aungame kwa dhati.

 
At 9:34 AM, Blogger Mija Shija Sayi said...

Na hizi ndizo ISHARA ZA NYAKATI anazoziongelea Mwandani kule katika Kiduka chake. Nina hakika kabisa haya mambo hayajaanza leo au siku za karibuni, nina hakika viongozi wetu wa dini wamekuwa wakitenda kinyume na yale wanayotuhimiza tuyatende. Haya sasa wakati umefika ambapo MUNGU ameanza kuwaumbua mmoja baada ya mwingine.

Inabidi toba itolewe hadharani na pia hii sheria ya kutooa ibadilishwe, ni wanadamu wameitengeneza na pia wanaweza wakaitengua sidhani kama hapo kuna dhambi yoyote.

 
At 1:24 AM, Blogger John Mwaipopo said...

Ehuuuuu!

Maana yafaa kupumua kwanza baada ya kusoma habari za utumbo huu. Katoliki ni kanisa ninaloabudu mimi kwanza kwa kuwa nililelewa hivyo pili kwa kuwa hakuna kimbilio lingine. Makanisa yote yana mmomonyoko wa maadili wa aina aina.

Huwa napata kigugumizi ninapotaka kwenda kwa padri kuungama zambi zangu. Wakatoliki wanahitaji kubadilisha namna ya kutubu dhambi. hivi fikiria eti namuendea mchungaji kama huyu kuanika dhambi zangu 'na zile nilizozisahau'
Nawajua hawa jamaa kwa unafiki. Enzi za utundu niliwahi hata kushea 'bibi' na padri mmoja, pasi na mimi kujua.

Barua inajieleza vya kutosha lakini namuunga dada Mija kuwa ni wakati sasa kanisa katoliki libadilishe kanuni zake za makasisi kutokuoa. Wanapata wakati mgumu hawa lakini ujinga wao hawataki kukiri hadharani.. Kinachonisikitisha katika waraka huu ni kuwa baba askofu amefanya haya akiwa mpakwamafuta. Sio zile 'bahati mbaya' za kabla ya kupakwa mafuta. Ikidhihirika, shame upon them!

 
At 10:23 AM, Blogger Martha Mtangoo said...

Jamani jamani, nyie acheni tu unajua watu siku hawafanyi kazi ya mungu kama mwito ila wanafanya kwa ajili ya kupata pesa na kufanya mambo yao mengine, lakini ni hivi suala la Padri wa kikatoliki kutooa halikuandikwa katika Biblia ingekuwa vizuri hawa wenzetu wakatoliki wakafikiria upya kubadili hiyo sheria yao ya kutooa na kama haiwezekani basi wawe wawazi na si kudanganya waumini ambapo wanajua fika kuwa kusema uongo ni dhambi na hakuna dhambi ndogo. lakini cha msingi ni kufanya matendo mema yanayompendeza Mungu na si kuangalia uozo uliopo katika viongozi wetu wa Dini. Amen!

 
At 10:29 AM, Blogger mwandani said...

Mie naona hata wangeruhusiwa kuoa, kama mtu ni kitombi bwana anakuwa na mdudu anayemtekenya mpaka apate mchumba mpya kila siku.
Kuna waanglikana waliooa walifumaniwa na waumini huko uingereza. Miye nashauri kama mtu kazidiwa na kutamani kubadilisha wapenzi, nyumba ndogo na kadhalika bora aachie ngazi badala ya kusema uwongo.
Swala gumu hili, kuna watu wana wake wanne na bado wanatafuta mademu mitaani.

 
At 2:34 PM, Blogger Reggy's said...

Sina la kuelezea, maana kisa kikali kama hadithi ya kuigiza vile! Du!! Baba Askofu! Rais wa TEC! labda alishatubu kwa Mungu, maana kuzaa mtoto si dhambi, bali dhambi ni uzinzi.

 
At 3:21 PM, Blogger Mija Shija Sayi said...

Na uzinzi si dhambi pekee hapo, kutengua nadhiri mliyojifungia pia ni dhambi.

 
At 9:06 AM, Anonymous Anonymous said...

Sishangai hata kidogo. Kama mapadri ningekuwa natazama kwa zile kanzu na misalaba mikubwa shingoni ningeshangaa. Ila nawatazama kama binadamu wengine (tofauti yao ikiwa ni ile hali ya kujidai kuwa eti huwa wanawasiliana na mungu). Sayansi za maumbile tulizoumbwa nazo sisi nao wameumbwa nazo. Tatizo ni kule kujifanya kuwa wanaweza kwenda kinyume na sayansi hiyo. Hapo ndio mwanzo wa unafiki unapokuwa. Baya zaidi ni pale msimamo wao huo, wa kutooa, unapokuwa hauna nguvu ya maandiko wanayodai kuyasimamia.

 
At 10:21 AM, Blogger Indya Nkya said...

Jamani mjadala huu utanoga sana ikiwa kila mmoja angesoma kitabu cha Pambazuko Gizani kilichoandikwa na Kalumuna Mboneko. Kitabu hiki kinaeleza kwa njia ya riwaya jinsi siri za kanisa zinavyotakiwa kutunzwa kwa gharama yoyote ile ikibidi wakati mwingine watoto ambao mapadre na maaskofu huzaa huuwawa ili kuficha siri. Utagundua kwamba pia asilimia kubwa ya watoto yatima wanaolelewa na vituo vya kanisa katoliki si yatima kweli ni watoto wa hao hao jamaa

 
At 11:43 PM, Anonymous Anonymous said...

Jamani wewe Padre Privatus Karugendo kama upadre ulikushida basi kaa kumya na siyo kueneza uwongo juu ya askofu wa watu. Mungu atakuhukumu vibaya. Wewe mabo yalikushinda, ukazaa nje kila mahali, sasa hukutosheka kwenda kwenye magazeti ya Mtanzania kuharibu juna la kanisa unaanza kujiita majina ya ajabu.

Kama una cha kusema toka nje ukiseme bila woga

Pro-antipathy

 
At 11:50 PM, Anonymous Anonymous said...

Pro antipathy unasema ukweli huyu ni Padre Privatus Karugendo sote tunamjua.

Amejaribu mara nyingi kuandika kuharibu jina la askofu huyo akidhania kwamba atamweza lakini miaka hii yote ameshindwa. Askofu huyu kila anayemjua anajua msimamo wake thabiti na ndiyo sababu alichaguliwa kutawala shauri ya utakatifu wake.

Nenda kasome makala mbali mbali za Rai utakuta maadishi ya Krugendo akijaribu kilipiza kisasi kwa sababu yeye alifanya vihoja kanisani akafukuzwa na askofu huyo kihaki kabisa. Yote hayo yako documented.

Karugendo if you fail to be a priest at least keep QUIET.

Mchukia uongo

 
At 9:45 AM, Anonymous Anonymous said...

Mliopasua jipu kuwa huyu ni 'Padri' Karugendo nawashukuru sana.

Hata mimi niliamini ni yeye, maana maandishi yake dhidi ya askofu huyu yanafanana. Karugendi usidhani tunaosoma maandishi haya ni wajinga, tunakuelewe. Hata hicho kitabu cha Karumuna Mboneko ulichoelekeza hapo juu tunajua ni wewe ulikiandika. Na Jana, katika gazeti la Mwananchi, Askofu wa watu alijibu akasema anadhani anayemchafua ni Padri wake aliyesimamishwa. Umeshajulikana, tafuta mbinu nyingine. Mbona wewe tunajua kuwa ulifukuzwa upadri kwa kuwa na kimada pale Muhimbili Dar es Salaam na hatusemi? yaishe.

msomaji makini

 
At 8:54 PM, Anonymous Anonymous said...

Kwani hizo tuhuma kwa Askofu Severini ni za ukweli au uongo? kwanza hapo ingekuwa vyema tukapata ukweli, halafu pili, Ndugu Nkya wewe ndio unayejua ukweli kama waraka huu uliotuchapishia umetoka kwa nani, tungependa kupata ukweli zaidi.

 
At 5:12 PM, Anonymous Anonymous said...

Ndugu zanguni ambao hamkusoma Mwananchi Jumapili iliyopita haya ndiyo yalikuwa majibu ya Askofu, baada ya kuulizwa tuhuma zilizotolewa dhidi yake na huyo padri aliyemfukuza:-

Askofu Mkatoliki adaiwa kuwa na mtoto

*Yeye auita uzushi, akiri kupokea tuhuma
*Wanaomtuhumu wasimulia kwa mtandao
*Wataka DNA itumike kubaini ukweli halisi

Na Waandishi Wetu

ASKOFU wa Kanisa Katoliki ambaye pia ni kiongozi mwandamizi katika Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) nchini, anadaiwa kuzaa mtoto na mwanamke mkazi wa Arusha.

Kiongozi huyo mwandamizi wa kanisa hilo lenye waumini wengi nchini, amedaiwa kufanya kitendo hicho ambacho kinakiuka maadili ya uongozi wa kanisa hilo ambayo yanawataka viongozi wake kuishi maisha ya useja.

Taarifa za kashfa hiyo ziko katika mtandao wa kompyuta ambao unaanika hadharani kwamba kiongozi huyo wa kiroho anadaiwa pia kuwa alimjengea nyumba ya kuishi mwanamke huyo pamoja na ya biashara huko huko Arusha. (Jina la mwanamke huyo limesetiriwa kwa sasa).

Kupitia mtandao huo huo, askofu huyo anadaiwa kuwa alizaa mtoto huyo mwenye umri wa miaka minane wakati akiishi Arusha, kabla ya kuhamishiwa kwenda jimbo jingine.

Alipoulizwa wiki hii kuhusiana na ukweli wa madai hayo, askofu huyo aliijibu Mwananchi Jumapili kwa njia ya mtandao wa kompyuta akieleza kuwa hiyo si mara ya kwanza kuzushiwa kuwa amezaa na mwanamke.

Katika majibu yake, askofu huyo anasema:

"Ndugu yangu mpendwa...Nakushukuru kwa kunifahamisha juu ya jambo hilo. Sikujua kama habari hiyo imewekwa kwenye gazeti (mtandao). Unajua wengine tunakaa magazeti hayo yasikofika.
 
"Mimi alinitumia e-mail hiyo na kwa kuwa namhisi ni padre wangu niliyemsimamisha utumishi, nilinyamaza kwa kuwa najua ni uongo na uzushi mtupu.

"Najua kuwa Mungu na yeye mwenyewe (mwandishi) wanajua ni uongo wa kutunga. Mara ya kwanza aliandika e-mail akisema nilizaa na mwanamke mmoja na kumjengea nyumba pia Arusha, sikumjibu!

"Anajaribu kila namna kunichokoza. Sasa, ametunga nyingine! Yawezekana ni mshirika wake mwingine. Sisi viongozi, kawaida utakuwa na marafiki na pia maadui kadhaa. Na adui hakuchagulii silaha ya kukuumiza. Na kama Waswahili wasemavyo: "Akutukanaye hakuchagulii tusi".
 
"Watu anaosema nimezaa nao kwa bahati nzuri au mbaya siwafahamu. Ila, sasa nitataka uthibitisho wa madai hayo ya sasa, na niwajue hao, mwanamke na huyo mtoto, ambaye sijui ni wa kike au kiume!

"Nitashukuru iwapo utanitumia nakala ya gazeti husika (mtandao) ili nichukue hatua zinazofaa," alisema Askofu huyo katika majibu yake aliyoyatuma kwa njia ya mtandao.
 
Mtu anayemtuhumu askofu huyo kupitia katika mtandao wa kompyuta akimhusisha na kashfa ya uzinzi, anamtaja mwanamke aliyezaa naye na mtoto huyo ambao anadai wote wanaishi Maji ya Chai nje kidogo ya mji wa Arusha. Sehemu ya ujumbe huo unasema:

"Pole sana kwa kazi nyingi ya kuchunga kondoo. Bwana
akubariki na kukuzidishia moyo mkuu. Ninakuandikia
ujumbe huu kukumbusha jambo moja:

"Unakumbuka siku chache kabla ya kuchaguliwa kuwa
askofu wa jimbo lako unaloliongoza sasa , ulizaa mtoto na mwanamke mtajwa, dada yake na padri..... wa Jimbo Kuu
la Dar-es-Salaam. Padri huyo alikutunzia siri, na sisi
tukanyamaza! Mtoto wako, anaendelea kukua na
sasa anasoma Shule Maji ya Chai, Arusha.

"Ili mwanamke huyo akae kimya, ulimjengea nyumba kule Maji ya Chai Arusha. Sasa hivi anaishi kwenye nyumba hiyo na mume wake. Hapo hapo anaendesha biashara ya baa iliyoko katika eneo hilo (jina tunalo)

"Tumesikia tetesi kwamba hivi karibuni utateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora. Tunafikiri ni jambo la muhimu na la lazima, viongozi wa Kanisa kufahamu kwamba wewe una mtoto. Ofisi ya Askofu Mkuu ni kubwa na yenye kudai maadili ya Kanisa Katoliki.

"Viongozi wa kanisa wanaweza kupuuzia jambo hili. Nawe pia unaweza kupuuzia jambo hili. Kwa vile siku hizi sayansi imepiga hatua, tutasisitiza ipimwe DNA yako na ya yule mtoto. Tunataka Watanzania wajue ukweli huu na ulimwengu ujue ukweli huu.

"Ni matumaini yetu kwamba utaupokea ujumbe huu na
kuwajibika ipasavyo," unasomeka ujumbe huo ambao iwapo utathibitika kuwa ni wa kweli unaweza ukafungua ukurasa mpya wa mwenendo wa mambo ndani ya Kanisa Katoliki nchini.

 
At 10:51 PM, Anonymous Anonymous said...

Hii sasa hatari!!

 
At 9:03 PM, Anonymous Anonymous said...

Kweli kama huyo ni padre ninayemjua ambaye ameshayatenda mengi ya ajabu na aibu sasa anajiongezea mkaa juu ya aibu hiyo. Mungu anajua ukweli. Pole sana baba askofu. Huu ndio msalaba wa Kristu lazima na wewe uubebe. Kma njia ya kwenda mbinguni.

Baba askofu tunakuombea upate nguvu na uvumilivu kwa haya matusi.

 
At 2:54 PM, Anonymous Anonymous said...

Masuala ya ugomvi kati ya askofu na padri wake (kama kweli ndiye aliyeandika)haihusiani na hoja. Hata kama angeandika shetani! hapa tunachotaka ni ukweli udhihirike.Uaskofu ni ngazi ya juu na suala hili (japo ni la kimaadili)linaweza kuathiri imani za watu wenye dhamira dhaifu.Iwapo kweli aliyeandika ni padri basi mambo ni mabaya zaidi ndani ya kanisa lenyewe kiasi kwamba watu wa Mungu wanajiumbua wenyewe kwa wenyewe. Sisi waumini tunabaki kuduwaa!! Vioja vingi tunaviona toka kwa viongozi wetu hawa wa dini. Wake zao na watoto wao tunaishi nao mitaani. Kukanusha kwa mdomo eti hamjui mtoto wala huyo mwanamke hakutoshi maana wengi walifanya hivyo wakati ni kweli wamezaa! Si ajabu kuwa hata leo hii wapo wanaoutafuta uaskofu wakati wakijua wazi kuwa wana vimada na watoto. Sayansi ipo ya kuthibitisha ukweli maana Kristu mwenyewe alisema "ukweli" utawaweka "huru". Tumechoka kukwazwa hivi na viongozi wetu. Kila pande inayohusika na kashfa hii itubu kwa dhati; Roho Mtakatifu aachiwe nafasi yake ya kuliongoza kanisa badala ya ujanja ujanja wa kuutafuta uongozi na utumishi wa dini kiunafiki na kuishia kukwaza waumini. Msimtese Kristu tena msalabani.

 
At 3:27 PM, Anonymous Anonymous said...

Kweli, kuna haja ya ukweli kujulikana. lakini tuangalie hoja ya Conflict of Interest. Huyu ni Padri kwa maneno, alishatimuliwa, hawezi tena kuendesha ibada, hawezi kutoa sakramenti, ana kimada Muhimbili, aliyemtimua ndiye anayeandikwa. hata kama ukweli upo, lazima tuangalie unaletwa na nani, kwa malengo gani? kwa maslahi ya nani? Nimalizie kwa swali: Ikithibitika askofu/padri ametenda dhambi yoyote, mfano kasema uongo/kazini,hana nafasi ya kutubu dhambi hiyo na kusamehewa? Je, kama katika dhambi hiyo, mfano ya uzinzi, alipata mtoto, ukubwa wa dhambi unaongezeka? Hata kama alizaa mtoto, bado ana mahusiano na yule mwanamke?

 
At 7:13 PM, Anonymous Anonymous said...

Kweli hii sasa balaa! Kila kukikaribia tukio fulani kubwa mambo mengi yanafumka. Sasa tunasubiri askofu mmoja awe askofu mkuu Tabora na hili linafumka!Ngoja tuone maana yanayofumka kwa mtindo huu yanakuwa ama ya kweli au majungu. Tunayoyaona sasa ni yale yale ya Eva "si huyu nyoka.." au ya Adam "si huyu mwanamke...". Kila mmoja hakubali kosa bali anatupa lawama kwa mwenzie "si huyu padri niliyemtimua..". Sijui naye nyoka anayetupiwa lawama atasemaje akipewa kinywa cha kusema!

 
At 10:25 PM, Anonymous Anonymous said...

Hivi kwa nini kuandikia mate? Mtoto Mkude inasemekana yupo! na kama nimesoma vizuri mlalamikaji Antiparth Martini ndiye baba wa kambo wa Mkunde, yaani mume wa Consolata (mzaa chema). Maadamu huyu baba wa kambo ameamua kutoa siri basi asikubali haya mabishano yaendelee bila sababu, amchukue baba askofu na mtoto wakapime DNA majibu atuletee tena. Askofu akikataa hilo sasa tutamuuliza kulikoni? HAKUNA HAJA YA KULUMBANA, MSEMA KWELI DNA!!

 
At 9:52 AM, Anonymous Anonymous said...

Suala si "conflict of interest" bali ukweli, na msema kweli ni DNA. Ukweli ukidhihirika kinachofuata ni kuwajibika. Mtoto naye ana haki ya kumjua baba yake halisi. Hii ni karne nyingine si ya kubahatisha. Suala hili limekuja kwa mgongo wa dini si siasa. Dini wakati wote inasisitiza ukweli. Au ukweli ni kwa wahubiriwa tu si wahubiri? Dhambi (kidonda) yaweza kusamehewa (kupona) lakini athari (kovu) litabaki. Kovu lisipotunzwa ni rahisi zaidi kurudi kuwa kidonda kibaya zaidi.

 
At 8:32 PM, Anonymous Anonymous said...

Mchangiaji anayemtaja Padri Karugendo, anavuruga kila kitu.Yeye anafikiaje hatua ya kusema kwamba Antiparth ni Karugendo?

Ukisoma mawazo ya Mwananchi na mchangiaji, untagundua kwamba huyu ni Askofu Severine Niwemugizi. Hivyo wachangiaji, sema kwa huru na kwa kujiamini,maana sasa mko sambamba na mheshimiwa mwenyewe.

Mnaweza kugundua chuki yake na Karugendo. Tungeshauri,Karugendo, aende Polisi, maana ni hatari. Ikitokea Askofu, akapatwa na jambo kubwa, atamtaja Karugendo!

Askofu huyu ana mengi machafu. Tutaendelea kuwapatia mengi.

 
At 8:38 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu Severine, Karugendo, alikukosea nini? Unamsingizia kwamba ni yeye aliyeandika barua ya Mkunde? Karugendo, tunamfahamu vizuri kwa kusema wazi. Mbona alipoandika kwenye gazeti kwamba wewe ulitumia maungamo yake kumnyanyasa, aliandia wazi? Matumizi ya Kondomu, mbona aliandika wazi? Kwanini afiche jina lake wakati wa kuandika juu ya mtoto wako Mkunde?

Achana na Karugendo, pambana na sisi! Unasema Karugendo, alifukuzwa kwa haki? Alifanya kosa gani kubwa kuliko la Mapadri wako wengine?

Majambazi na wafungwa wengine, hata wafungwa wa kivita, wanapatiwa haki zote za binadamu, wanapata chakula, malazi na matibabu. Wewe umemtelekeza Karugendo ,bila huduma zozote za kibinadamu. Umemfanyia unyama mkubwa. Ni bora Roma,imeachana na mpango wake wa kukufanya Askofu Mkuu, mtu mwenye moyo wa kinyama ka wewe huwezi kuwa Askofu Mkuu.

 
At 9:31 AM, Anonymous Anonymous said...

Naam, sasa upeo wa mawazo unakuja kwa mtiririko wenye mantiki. Kwanza, ni ajabu mtu kukurupuka na Kusema aliyeandika ni Karugendo! Hata falsafa aliyosoma askofu seminarini ameisahau kabisa - tangu lini Antiparth akawa Karugendo? Hoja zipi zinakufanya kimantiki na kisheria kusema Antiparth ni Karugendo? Isitoshe, wewe ni mtuhumiwa tu kuwa umemzaa Mkunde. Mtuhumiwa ahukumiwi mpaka uthibitisho upatikane na vielelezo viwekwe wazi. Sasa askofu badala ya kusafisha jina kwa kukubali kupimwa DNA iwapo kweli Mkunde yupo wewe unakurupuka na kumpaka matope Karugendo. Ni falsafa gani hii?! Karugendo akienda mahakamani kwa kosa la kumkashifu utasema ni mkorofi? Mpaka sasa askofu umekosa hata ubinadamu kwa kumtelekeza padri wako ahangaike na maisha mtaani wakati wewe unatesa na mashangingi na kulala pazuri kwa mgongo wa pesa za waumini eti ni mtu wa Mungu wakati unayoyafanya ni kinyume cha haki za binadamu! Hujui kuwa pengine Karugendo anazidi kupotoka kwa sababu hana baba wa kumsikiliza? Hana pa kupata faraja! Soma tena Biblia unayoihubiri kuhusu mwana mpotevu -Baba yake alimpokea kwa sherehe mwanae aliporudi. Bila shaka mtoto alirudi kwa babaye baada ya kuona huruma ya baba na mapendo. Sasa iwapo ubaba wako ni huu wa kukurupuka na kumtangaza padri wako kinyume cha falsafa uliyosomea utafikiri Karugendo kama kweli ana hamu ya kurudi atakuwa radhi tena kuuona uso wako? Acha ufedhuli na kujiona kuwa eti umekuwa askofu basi wewe ni Mungu. Kristu unayemwakilisha hayuko hivyo. Zaidi sasa unatukwaza sisi waumini.

 
At 9:42 AM, Anonymous Anonymous said...

Hatumtetei Karugendo lakini kwa mtu mwenye akili akisoma barua hii kwenye mtandao anashangaa zaidi kuona jinsi Karugendo anavyoingizwa. Anashangaa zaidi kuona anaingizwa na askofu aliyesoma! Hapo kinywa kinabaki wazi! Tulidhani askofu angekuwa anhangaika na mhariri au mmiliki wa mtandao ili amjue mshitaki wake (kama hamjui bado) na hatimaye afuate utaratibu wa kujitetea. Iwapo ni Karugendo basi atafahamika mbele ya safari si katika hatua hii!!!!Au falsafa ni teolojia ni elimu zisizojua sheria!

 
At 10:58 AM, Anonymous Anonymous said...

Samahani Ndugu Nkya, tungependa huu mjadala utubadikie tena mbele kama ulivyo ili iwe rahisi kuufikia.

 
At 1:13 PM, Anonymous Anonymous said...

Hii habari haikunishangaza, inalingana kabisa na matendo ya Baba Askofu Niwemugizi. Kwa wanaomjua Severini tangu kabla hajapata umwinyi(Uaskofu) wanamwelewa kuwa ni mtu wa kufanya mambo hasiyokuwa na uumini nayo. Angalia sasa ni Baba Askofu, kwa maneno mengine ni mchungaji mkuu wa kondoo wa Bwana. Mchungaji mwema ni yule asiyetaka kumpoteza hata kondoo mmoja katika kundi analolichunga. Lakini Severini ni tofauti, yeye yuko tayari kumuondoa kundini kondoo kwa kisingizio kuwa hajanona! Hii ni kwa sababu yeye anajali utukufu wa duniani tu. Hii inatuonyesha kwamba kuwa kwake Askofu hakumfanyi afikirie zaidi ya maisha ya dunia kama alivyokuwa Askofu aliyemtangulia Christopha Mwoleka, ambaye maisha yake yote aliyatumia kujitengenezea nafasi ya kwenda Mbinguni. Kwa Severini Mbingu ni hii aliyomo kwa sasa, Uaskofu! Kwahiyo kujenga makasri (Nyumba ya Askofu) na kuendesha mashangingi ya bei mbaya wakati mahospitali yake ya misheni yanafungwa kwa kukosa madawa na kusababisha vifo kwa waamini wa jimbo lake kutokana na kukosa huduma ya tiba, ikiwa ni pamoja na kuwatimua na kuwatelekeza mapadri wake wasikubalina na ufisadi wake, anaona ndiyo stahiki yake kutoka kwa Mungu. Sasa mtu kama huyu mtamshangaaje kuzaa mtoto ndani ya nadhiri ya useja? Mbona yapo mengi makubwa zaidi ameyafanya ambayo bado hayajamulikwa! Jambo la kufanya ni kumfanya mtoto (Mkunde) amjue baba yake halisi ni nani. Tumwombe Mungu huyo mtoto asiuawe kama ilivyo ada. DNA itamaliza ubishi kama Baba Askofu yuko tayari. Tusitafute mchawi kwanza katika kupoteza lengo.

MUGANGUZI NKARAGE

 
At 2:46 PM, Anonymous Anonymous said...

Kumuongelea Baba Askofu sio dhambi kama ametenda dhambi, ila itakuwa dhambi kama Baba askofu anajitahidi kulinda maadili yake. Acha tumchambue.

 
At 2:56 PM, Anonymous Anonymous said...

Kwa mtaji huu na maaskofu wa aina hii kanisa Afrika litafifia kama linavyokufa huko ughaibuni! Tusubiri tu kuandikiwa barua zenye lugha laini za Krismas na Pasaka toka kwa maaskofu wa aina hii wakisisitiza upendo, ukweli na amani wakati wenyewe wanawatelekeza hata mapadri wao wajitafutie wenyewe mitaani kwa kosa lilelile wanalolitenda wao! Uzandiki mtupu.

 
At 4:09 PM, Anonymous Anonymous said...

Endelea kuchangia. Askofu Severine, anasoma yote. Pia naye ni mchangiaji! Mpatie vitu, mpaka afute mawazo yake kwamba Karugendo, do mbaya wake. Waumini ndo wanachambua. Ninafurahishwa na wale wanaoweka picha zao. Kwa njia hii Askofu Severine, atatoka ndotoni na kuacha kumfikiria Karugendo.

Nitawapatia mengi ya Askofu Severine, kadili tunavyoendelea.Mjadala mzuri sanaaana! Unajua hawa wakatoliki, wanajitahidi kutotoa habari, kwa kuhakikisha gazeti la Kiongozi, linaandika yale tuna wanayoyataka. Ila kwa njia hii mmeingia ndani ya kanisa. Mnataka msitake, Blogu, hii inasomwa na viongozi wa kanisa katoliki. Wape vitu!

 
At 5:27 PM, Anonymous Anonymous said...

Tusingependa kutoka nje ya mada. Mada ni NiweMugizi na Mkunde. Karugendo ameingizwa na askofu mwenyewe katika harakati zake za kujitetea. Wachambuaji wengi wameeleza vizuri kabisa kuwa kwa hilo askofu amekosea mnooo au hoja yake imekuja kabla ya wakati. Ameruka viunzi vinavyomrudi mwenyewe. Ni afadhali atafute hoja nyingine itakayompeleka polepole kwenye hili analotaka tuamini. Na hoja hii imekuja kwa sababu ya fununu aliyonayo Antiparth - mume mwenzie - kuwa huenda NiweMugizi akawa askofu mkuu! Wenye imani zao na wanaomfahamu vizuri huyu askofu wanaona tendo hilo ni kuliingiza kanisa pabaya. Hastahili! labda kama sasa kanisa limekuwa chama cha siasa!!! Ni vema pia askofu akajua pia watu wana uchungu na dini yao na wala hawana nia ya kumpakazia aukose huo "umwinyi". Isitoshe, hii iwape picha wakuu wetu wa dini kuwa sisi watu wa chini tunawafahamu sana na tumewavumilia sana kama binadamu wenzetu lakini sasa inatapisha. Kumpa uaskofu mkuu huyu ni sawa na kulidhalilisha kanisa.

 
At 2:05 PM, Anonymous Anonymous said...

Naam mjadala umenoga na inafurahisha kimantiki tu na mtiririko wa umwagaji pointi utagundua kuona kwamba mapadri wengi wameingia kuchangia mada hii.
Jamani tunapochangia hoja tusitetee au kukandamiza kwa sababu sisi ni mapadri au ni maaskofu tunaotaka kulinda interest zetu, kitu kikubwa kama dini inavyosema tuzingatie ukweli, kama kuna uchafu wowote iwe ni kweli yanayosemwa juu ya Askofu Niwemugizi au Padri Karugendo yaachwe mara moja.
Kwa jinsi inavyoonekana hapa mapadri waliochangia (Wanafahamika kwa mtiririko wa hoja zao)wanavutia upande wao, hali kadhalika upande wa Askofu nao ukijitutumua.
La Muhimu ewe padri ewe askofu jitazame matendo yako yanaendana na maandiko ya biblia. Kumbuka tu kila unachofanya hata ukijaribu kukificha Mungu anakuona na atakuadhibu au atakutunuku kwa hilo.

 
At 5:11 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu na Padri wake wamekabana shingo.Lakini, kusema kweli, Karugendo, hakutaja kitu juu ya Askofu wake. Askofu ndo alipotea njia akafikiri anayemsema ni Karugendo. Masikini Askofu wa watu. Uaskofu Mkuu, anaumezea mate.

 
At 5:39 PM, Anonymous Anonymous said...

Mambo haya ambayo hamna uhakika nayo ni vizuri kuachana nayo hadi yakapatiwa ufumbuzi unao eleweka, vinginevyo mtaishia kuelezea story mlizozisikia au kusoma katika magazeti. Hakuna aliye na uhakika na uovu aliosingiziwa Askofu wa watu, lakini sasa naona kuna baadhi ya watu wanachangia kama kwamba wanaelewa ukweli!
Labda kama mnachukulia kuchangia kama aina ya intertainment, basi endeleeni!

 
At 6:33 PM, Blogger Indya Nkya said...

Wanaonitaka nitoe mwelekeo wa hoja hii nashindwa namna ya kufanya. Nilipata Nakala ya barua pepe iliyotumwa kwa askofu toka kwa Antiparth Martin ambaye ni msomaji wa blogu hii. Niliiweka kama ilivyo na Askofu amekiri katika gazeti la Mwananchi kwamba aliipata hii barua pepe. Sikuona kama hili ni jambo la ajabu sana kwa vile imeendelea kudhihirika miaka ya karibuni kwamba mapadre na maaskofu wengi wana watoto na wengine wamekumbwa hatana kashfa za kunajisi na kufanya mapenzi na wavulana wadogo. Halafu huu utamaduni wa kuogopa kuhoji mambo ya kanisa au ya kiimani pamoja na viongozi wao tunatakiwa tuufutilie mbali. Severine ni Severine kama Mwanaume kabla hajawa askofu. Karugendo ni Karugendo kama mwanaume kabla hajapata upadre. Kama kazaa mahali basi la kusisitiza ni kumpa mtoto haki ya kumjua baba yake naye awajibike kama baba.

 
At 6:37 PM, Anonymous Anonymous said...

Halafu Huyu askofu atueleze tofauti ya kusimamishwa na kufukuzwa. Taarifa tulizo nazo ni kwamba Karugendo kasimamishwa lakini Kanisa chini ya uongozi wake linamtesa sana bila chochote. Kama kafanya unyama wa jinsi hii atashindwa kufanya unyama wa aina yoyote. Anajiita baba Askofu. Acha kupindisha hoja jadili lililopo mezani. Hiki ni kizazi cha kuhoji kila kitu. Tumeamua kuvunjavunja kila kitu na kuanza upya.

 
At 10:33 PM, Anonymous Anonymous said...

Haya, sehemu ya kwanza naona imetosha na sasa tuingie ya pili 'TAREHE YA KWENDA LABORATORY' imeshapangwa au bado?

 
At 9:44 AM, Anonymous Anonymous said...

Karugendo umepata sehemu ya kupigilia. Naona unaendelea, mara wewe ni karugendo, mara ni Mganguzi Nkarage, mara Nkya na mara nyingi ni Anonymous. Imetosha. Nona unalazimisha mjadala uendelea na unatishia una mengi ya kuandika, na unatambua kuwa mbugu yako inasomwa na viongozi wa kanisa katoliki, Sisi wasomaji tuliotulia tunakufahamu sana. Achana na mambo ya kizamani. Kama una moyo ulitumia kuandika baadhi makala kama ulivyoziorodhesha hapo juu, jitokeze na sasa utaje kuwa upo nyuma ya mjadala mzima.
Tumsifu Yesu Kristo

 
At 8:43 PM, Anonymous Anonymous said...

Jamani, mnaona watu wanavyojifanya vichokoo.Eti Karugendo ndo Muganguzi Nkarage, ndo Nkya na Ndo Anonymous! Huyu kweli kachanganyikiwa. Wale wenye majina yao mnacheka hadi mbavu. Eti mtandao huu ni wa Karugendo, labda kwa vile kuna Kona ya Padri Karugendo. Mbona blogu nyingi zina makala ya Karugendo? Mbona hata kwenye mitandao mingine makala za Karugendo, tunazisoma? Hivyo basi na gazeti la Rai ni la Karugendo?

Askofu wa watu kachanganyikiwa. Kila kitu anaona Karugendo. Jamani mpeni pole maana inaelekea siku hizi anashinda kwenye computer.

Mtoto Mkunde, amepatikana. Inasubiriwa Damu ya Mheshimiwa Askofu!

 
At 8:57 PM, Anonymous Anonymous said...

Wewe karugendo unamatatizo makubwa! kama umejibadirisha sura ya kurenga kashfa zako kwa askofu wa watu, usilete mjadala kusudi watu wakusaidie kujadili matatizo yako kwa kuyaleta kwa mtazamo mpya. Lugha yako sasa inaeleweka wazi, sema tu ujulikane, sio kwa kubadilisha majina!
Kanisa mara inaonekana unalipenda, mara unalichukia, mara unataka kurudi; mara hulitaki kabisa! sema ujulikane msimamo wako.
Nakumbuka uliwahi kuandika katika gazeti la Rai ukihoji uhalali wa uchaguzi wa Baba Mtakatifu anaye chaguliwa na Makardinali na kuongoza kanisa zima! Wewe ni Padri mkatoriki unaye hoji uhalari wa Baba Mtakatifu?! Zaidi umehoji ukweli wa mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu utumiaji wa Kondomu. Kama "Padri" wa kwanza mkatoriki umeunga mkono matumizi ya Kondomu, kama kinga dhidi ya Gonjwa hatari la Ukimwi.Haya yote yamekupatia sifa katika ulimwengu unaopinga msimamo wa Kanisa katoliki katika masulala mbalimbali yanayo husu maadili.
sio jambo la kushangaza kama utazusha mambo zaidi mabaya kama unavyofikiria wewe, ili uweze kufanikisha azma yako ya kulipaka matope kanisa ulilolikimbia wewe mwenyewe!
Bado sijafahamu nia yako na lengo lako la kuficha Identity yako katika mtandao huu! mara ujiite majina ya ajabu, lakini lugha yako bado ni ile ile! tunaifahamu Lugha yako! jifunue kama unalolisema ni la haki, basi litafutiwe ufumbuzi!Hii haitakusaidia lolote kusema katika hali ya kujificha!
Usidhani kuwa watu hatujakufahamu! tunakufahamu kuwa ni wewe unaanza kutafuta mbinu ya kumpaka matope askofu anayefanya kazi yake vizuri, bila dosari, isipokuwa dosari unazoziona wewe! Labda ulifikiria wewe ndiye Askofu uliyepaswa kuwa baada ya Kifo cha Askofu Mwoleka! kwasababu tunashindwa kuona kwanini umchukie Askofu Severine hivyo. Kila Uovu unamsukumia yeye, wewe unafikiri ni mtakatifu? Hila zako zinajulikana na hivyo yote unayoyasambaza dhidi ya Askofu Severine ni upuuzi mtupu yatakurudia wewe mwenyewe!
Mimi ningemuomba Mmliki wa website hii kurusha hewani mada ambazo zimewasilishwa na mtu anayejulikana wazi kusudi baadaye, pindi inapotakiwa mhusika kueleweka, basi iwerahisi kumfahamu! Ninamaanisha kuwa sio vizuri kutuachia sisi wasomaji kugundua kuwa mwandishi wa mada fulani ni mtufurani tofauti najina lililo wekwa katika mtandao, kama tulivyo fahamu mhusika wa mada hii kama ni Karugendo. Kama itaendelea hivi itaonekana wazi kuwa Web site hii ni ya kihuni na majungu! na majungu hayawezi kutupeleka popote! twambie wazi kuwa ajenda hii imeletwa na mtu fulani, na sio kuzunguka na kuweka maelezo yasiyokuwa na uhakika.
Nafikiri nimeeleweka.

 
At 10:04 PM, Anonymous Anonymous said...

Sasa ndugu zangu naona ni kuchanganyana tu kwa watu wachache kujibizana hasa huyu Karugendo ambaye naona amehitimu sana katika science ya uchafuzi. Bahati mbaya shuleni falsafa ilimshinda ila akawa na bahati ya kuwa na baba mdogo hivyo akapita licha ya yote. Kama una cho chote cha maana basi mlete huyu Antipathy alete mke wake Consolata na mtoto wao Mkude wakapimwe. Tena atapata bahati kwa sababu askofu atalazimika kumtunza mtoto wake na mashauri yataisha. Sasa askofu wa watu akupate wapi wewe, kama una jambo lilete au kaa kimya. Karugendo baada ya kushindwa upadre ukaanza kula kwa kupaka matope watu na kanisa, lakini usipoacha hili vitakutoka puani. Alivyosema mmoja kwa sababu ya akili ilivyo msamiati wako Privatus haugeuki ni ule ule na namna yako ya kufikili ni hiyo tu hivyo ni rahisi kukujua. COME OUT WITH REAL PROOF OR SHUT UP

Anatoli

 
At 10:45 AM, Anonymous Anonymous said...

Nakubaliana na Muganguzi Nkarage kwamba Askofu Niwemugizi ni mtu mwenye hulka ya kufanya mambo asiyokuwa na uumini nayo ilimradi tu yanabeba jina lake na kumpa utukufu. Mfano, si kwamba aliamua kuwa padri akiamini kuwa katika useja, ambao ni pamoja na kutopata mtoto, angemtumikia Mungu na thawabu kuikuta Mbinguni, matokeo yake ni kuiruka nadhiri yake ya useja na kuwa kinara wa kuisigina amri ya sita dhambi inayodhibitishwa na ushahidi wa Mkunde. Hii ni kwamba pamoja na kuwa Padri katu haamini katika useja bali katika mambo ya kidunia na akiwa ameamua kubobea katika ufusika. Katika kutafuta sifa ya shahada ya uzamivu (PhD) aliamua kufanya utafiti wa utiifu katika sheria za Kanisa. Baada ya kurudi jimboni, Askofu wake Marehemu C. Mwoleka alimpangia kuwa Mkuu wa Seminari ya Katoke, kwa jeuri na kiburi aliikataa kazi hiyo aliyopangiwa na Baba yake wa Kiroho kwa madai kuwa msomi kama yeye ambaye tayari alikuwa anaitwa daktari hakupaswa kufanya kazi ya kipuuzi kama ile! Lakini si yeye aliyefanya utafiti wa utiifu mpaka kuupata huo udaktari? Je, aliyomfanyia Askofu wake ndio utiifu? Mchungaji mwema Mwoleka hakufikiria kumuondoa kundini mtovu huyo wa nidhamu bali alimtafutia kazi ambayo Niwemugizie aliafikiana nayo, kufundisha katika Chuo Kikuu cha Theolojia Segerea. Ni huko alikoendelea kumkana Mungu kwa kuendekeza biashara ya ufusika na hatimaye kumbandika mimba mama Mkunde aliyekuwa muhudumu chuoni hapo. Lingine ni kwamba huyo Padri wake aliyemvalia njuga, Padri Privatus Karugendo, kwa kiasi kikubwa ndiye aliyefanikisha Severini kuupata upadri, vinginevyo angeamua kuyaanika yote aliyoyajua kuhusu Severini kwa Mwoleka ninaimani kwamba lazima Mwoleka uzalendo ungemshinda na pengine sasa hivi Severini angekuwa anaitwa Baba Mkunde badala ya Askofu Niwemugizi. Nimkumbushe Karagendo usemi wa kihaya “Akati kalakusiga amazi okanyiela nokabona”.
LEONALD LUSABYA KABUYE
BIHARAMULO

 
At 11:31 AM, Anonymous Anonymous said...

Kweli katika blogu kuna vihoja, naona kuna wanosema eti mimi ni Padri Karugendo!Mimi ni mimi ila namjua Karugendo kama ninavyomjua Niwemugizi.Watu waliozoea mambo ya kutishana sasahivi ni waathirika wa hii teknolojia.Anayetaka tukutane ili ahakikishe kuwa Muganguzi sio Privatus aniambie tukutane wapi.Siogopi mambo ya kutishiana, hayo yamepitwa na wakati. Tunajadili kitu ambacho kimo kwenye mtandao na ambacho bahati mbaya kinamuhusu Askofu wetu.Hii habari ya kutumia lugha ya Vitakutokea puani, utaipata nakadhalika hasa kumtishia mtu ambaye hajajitokeza kuchangia,sidhani kama ni ustarabu. Wanaojiona untouchable wajue enzi zao zimekwisha.Kingine ni kwamba Karugendo, kama Padri anaunga mkono matumizi ya kondomu,mbali na kondomu kusaidia kupunguza ukimwi vilevile zinaepusha kashifa zisizo za lazima kama hii inayomkabili Baba Askofu.Kama huyu mtumishi mkuu wa Mungu angemsikiliza rafiki yake kipenzi, Privatus,akatumia kondomu hakuna mtu ambaye angejua kuwa aliitumia na sasahivi asingekuwa anahaha masaa yote yuko kwenye computer akijaribu kulekebisha kisichowezekana.Bola ukatumia kondomu na watu wasijue kuwa uliitumia, kuliko kwenda pekupeku kila mtu akajua kuwa hukuitumia.Mara nyigine nitaweka picha yangu.
MUGANGUZI NKARAGE

 
At 12:01 PM, Anonymous Anonymous said...

Kuna mchangiaji anajikanyaga. Anasema Karugendo, aliunga mkono matumizi ya kondomu waziwazi, kama ni kweli iweje leo hii Karugendo, ajifiche? La kondomu lilikuwa zito, mbona hakuogopa kulisema? Ataogopa nini kusema juu ya Mkunde?

Wewe kama una mashaka, mwandikie Karugendo, kwenye anwani yake uone kama hutapata majibu. Tunamjua Karugendo, hana ujinga wa kubadilisha majina kama anavyofanya Askofu Severine. Karugendo, ameandika makala za kupamba na Serikali, itakuwa nini kumtaja Severine, mtu aliyemtelekeza? Eti Karugendo, atake kuwa Askofu? Tunamjua Severine, aliyeupata uaskofu kwa mbinu.

Anayemchukia Karugendo, ni Askofu Severine. Karugendo, hana chuki na Askofu wake.

Sasa hivi kule Roma, Mjadala wa Kondomu unawaka. Kardinali mmoja ameunga mkono. Akina Severine, wasiokuwa na msimamo watafuata tu, kana kwamba Mungu wao aliwaumba kwa makosa.

Askofu Severine, fanya kazi za kichungaji, acha kupoteza muda kwenye computer. Subiri tukuletee mtoto wako Rulenge.

 
At 4:05 PM, Blogger Indya Nkya said...

Huyu askofu anachekesaha hata sisi tumemgundua anaandika na kujiunga mkono mwenyewe na ni yeye anayebadili majina si Karugendo. Mimi ni Nkya na si Karugendo.

 
At 4:25 PM, Anonymous Anonymous said...

Ndugu Anatoli uliyetoa hoja saa 10.04 PM tafadhali tafakari tena kauli zako na tathmini uzito wa hoja. Nguvu ya hoja na wala si hoja ya nguvu inayotakiwa. Huwezi kumtisha Karugendo eti yatamtokea puani au yatamrudia mwenyewe wakati hoja yako ya kuthibitisha kuwa anayeandika haya ni Karugendo ni kuangalia mantiki ya kufikiri! Hata wanasaikolojia hawawezi kuthibitisha hilo. sasa wewe umepata wapi uwezo huo? Umechunguza ubongo wa waTZ wote na hata wasio waTZ wanajua kiswahili na kuthibitisha kuwa Karugendo pekee ndiye mwenye mantiki hii? Tena hapa unamkashifu hata Mungu kuwa kuna kasoro katika uumbaji! Kumbuka kuwa tafiti zinasema mwanadamu ni kiumbe chenye akili ya ajabu kiasi kwamba sehemu inayotumika bado ni ndogo! Sasa wewe umejua uwezo wa ubongo wa watu wote na ukajua huyu ni lazima awe Karugendo!! unapaswa kuwa mtu wa ajabu sana! Kwa kifupi hoja yako haikubaliki. Usiugeuze mjadala uwe wa kukujadili wewe badala ya NiweMugizi na tendo lake la kuzaa kinyume cha ahadi zake mbele yetu waumini na Mungu. Bahati nzuri waliotoa hoja wamejitokeza na kukuambia wazi ni wapi wakuone ili ujue kuwa wao si Karugendo. Hakuna cha kuogopa hapa. Na isitoshe wote tumekulia katika mazingira haya haya ya Rulenge na kuwafahamu hawa watu wawili. Mkunde yupo, mama Mkunde pia yupo. Kutamani ukubwa kwa NiweMugizi tunakufahamu. Angekuwa si mpenda makuu angeukataa hata huo uaskofu kuwa hastahili maana tayari amezaa kinyume cha maadili yake ya upadre. Lakini yeye akauficha ukweli kwa gharama kubwa ya kumjengea nyumba mama Mkunde kumziba koo ili asiukose uaskofu. Sasa haya yote yanamrudia yeye mwenyewe. Ukweli pekee ndiyo utamfanya mtu kuwa huru. Uwongo una malipo makubwa pale ukweli ukidhihirika. Na utumishi wa kweli wa Mungu haununuliwi kwa uongo maana yeye ndiye "kweli" yote. Binadamu tutaficha lakini wakati muafaka YEYE mwenyewe ataufunua kwa namna anayoijua MWENYEWE katika UKUU wake. Sisi kama binadamu waovu tunadhani Kinachotakiwa sasa ni mtoto tu kujua baba yake halisi na kuwajibika kwa NimweMugizi kama baba Mkunde.
Alex.

 
At 6:51 PM, Anonymous Anonymous said...

Ndugu Nkya, tunaoba utubandikie tafsri ya Barua ile ya Askofu. Ni bora na ndugu zetu wanaosima mtandao huu kuisoma barua hiyo. Tunasubiri uitundike.

Bahati nzuri mtandao huu sasa unasomwa na watu wengi. Viongozi wa Kanisa Katoliki,macho yote yako hapo. Severine mwenyewe, anasoma na kutengeneza watu wa kuunga mkono. Anatoa hoja na kujiunga mkono.

 
At 7:47 PM, Blogger Mija Shija Sayi said...

Sasa msuluhishi wa kimataifa karibu nitaingilia kati.

 
At 10:37 AM, Anonymous Anonymous said...

Bwana Kabuye nanukuu hii haya yako ili nijenge hoja.

"Padri Privatus Karugendo, kwa kiasi kikubwa ndiye aliyefanikisha Severini kuupata upadri, vinginevyo angeamua kuyaanika yote aliyoyajua kuhusu Severini kwa Mwoleka ninaimani kwamba lazima Mwoleka uzalendo ungemshinda na pengine sasa hivi Severini angekuwa anaitwa Baba Mkunde badala ya Askofu"

Baada ya kunukuu, nakushukuru kwa kumuonyesha Karugendo jinsi alivyo. Ni padri wa namna gani ambaye anajua mtenda maovu anapakwa mafuta matakatifu lakini anaamua kukaa kimya? Mungu amemlipa ndio maana hata ninyi kina karugendo mmekiri ndani ta mjadala huu kuwa anatangatanga. hata akirejeshewa huo upadri sasa siamini kama anaweza tena kukidhi haja ya waamini.
KAMA MLIVYO WENGI WENU NA MIMI NAITWA ANONYMOUS

 
At 2:12 PM, Anonymous Anonymous said...

Kasheshe yote hii inatokana na ukiukwaji wa kanuni na maadili ya taaluma. Taaluma na maadili ya kazi za kiroho, kwa watumishi wa Mungu, vinazuia vinyongo, kulipiza visasi na mambo ya aina hiyo. Lakini mambo hayo yanawekwa kando watu wanajifanyia wanayoona yanawafaa wao! Tunaambiwa Baba Askofu Niwemugizi amezaa mtoto, badala ya kujisafisha au kumsafisha, tunapata comments zinazoonekana kumsemea Askofu zikiihusisha habari hii na hasimu wake Padri Privatus Karugendo! Uzito wa habari hii unaegemea wapi? Kwa mtoa habari au kwa ukweli wa habari yenyewe? Ina maana habari hii hata kama ni ya kweli madhali chanzo chake ni Padri Karugendo isipewe uzito? Ugonvi wa Padri Karugendo na Askofu wake unawezaje kutumiwa kulainisha na hata kufuta kashifa inayomuandama Askofu, kama kashifa hiyo ni ya kweli? Wale wanaomsemea Askofu ingekuwa bora kama wangemshauri akubali kutoa ushirikiano kwa wanaomtuhumu ili vipimo vyake na vya huyo mtoto, kama yupo kweli, vichukuliwe na kulinganishwa ili ukweli upatikane na kuondoa kiwingu hiki. Hii ndiyo njia pekee ya kujivua kashifa hii. Vinginevyo, njia zote za kinyemela kama kuingiza masuala ya Padri Karugendo, zitaifanya kashifa hii iote mizizi ya chuma na hivyo kumpanda Askofu mpaka utosini. Mara zote siri huzaa kashifa. Iwapo Askofu Severine angeamua kuyaweka bayana makosa ya Padri Privatus kila mtu akayajua nadhani asingekuwa anahofu kufanyiwa hujuma yoyote na huyo Padri wake, na pengine Privatus angeisha tubu kwa bosi wake na hali ingekuwa shwari. Lakini kwa vile Askofu aliamua kuyafanya siri, kama yapo, ili kuwafanya watu waamini kuwa hata kivuli chake ni mtu, matokeo yake ni yeye mwenyewe kuanza kukikimbia hicho kivuli chake kwa madai eti kinatishia usalama wake! Tendo la kutoyataja makosa ya Karugendo, linatushawishi, kama binadamu, kuamini kuwa Karugendo hana kosa lolote ila ni chuki binafsi ambazo, ofcourse, Askofu hawezi kuzi-justify zikakubalika kwa waamini wa Kikatoliki in particular. Nisababu hiyo inayomfanya Askofu Niwemugizi ahisi kuna uadui kati yake na Padri wake, Privatus, kwa vile uadui huo kautengeneza yeye mwenyewe pasipo makubaliano na Privatus. Kwa maana hiyo yeye anamchukulia Privatus kama adui yake, kwa maneno na vitendo vyake dhidi ya Padri huyo, wakati masikini Privatus bado anaamini kuwa Niwemugizi ni Baba Askofu wake. Privatus ni mtu muwazi mwenye kutetea msimamo wake bila uficho wowote, sababu, naona hakuumbwa na unafiki ndani ya roho yake. Kwahiyo wanaodai kuwa anatumia majina ya kuficha wakati nao wameficha ya kwao wamechanganyikiwa. Mimi nasema kama mdogo wake, na sioni sababu yoyote ya kuficha ukweli huo. Kwa wanaotujua, mimi na kaka yangu Privatus, wanaelewa kuwa tunatofautiana katika mambo mengi hasahasa katika msimamo wake ndani ya nadhiri yake ya Upadri. Lakini kwa hili damu ni nzito kuliko maji, lazima nimtetee. Namkumbusha Baba Askofu Niwemugizi kwamba Mungu alituumba wanadamu tukamkosea, hakutuhukumu, ila akajiweka katika umbo la binadamu, Yesu, ili atukomboe kutoka katika uovu na baadaye atusamehe. Baba Askofu hilo anakubaliana nalo? Sasa Privatus amemkosea nini kisichosameheka? Je, huo ni Ukristo? Haoni kuwa anaenda nje ya kanuni na maadili ya wito wake akiendelea kumtenga sambamba na kusakama Padri wake kwa sababu zisizoeleweka? Namshauri Baba Askofu ajivue kashifa inayomuandama bila kufanya mzaha wa vichekesho sababu hili ni jambo la kuuzunisha.

prudencekarugendo@yahoo.com

 
At 3:19 PM, Anonymous Anonymous said...

Wakatoliki wa Jimbo la Rulenge, tujiulize, kweli tuna Askofu? Inawezekana Akofu akasikia tuhuma zote hizi chafu akaamua kukaa kimya? Kwanini tusifanye maandamano ya amani kumkataa Askofu mzinzi? Kunyamaza kwake kunamaanisha kukubaliana na tuhuma kiaina. Habari za Fr.Karugendo hatuna haja nazo. Na si shida yetu kujua nani kafumua kashifa, tunachotaka Askofu atueleze ni hii habari ya kweli au ni uzushi. Na ili tukubali kuwa ni uzushi afanye mpango wa kumtafuta huyo mtoto kwa kutumia anwani inayoonyeshwa kwenye barua pepe iliyobeba kisa kizima,akisha mpata awaite waandishi wa habari wawe mashuhuda, DNA ipimwe na matokeo kuwekwa hadharani. Atakuwa amejisafisha yeye mwenyewe, ametusafisha wakatoliki wa Rulenge, na kulisafisha Kanisa Katoliki la Tanzania kwa ujumla.

 
At 3:37 PM, Anonymous Anonymous said...

Uzuri wa Baba Askofu Niwemugizi ni ile kufuata ule usemi wa "fanya nisemavyo na si nitendavyo". Yeye ni strict kweli kwa wanaokiuka au anao hisi wanakiuka maadili, ndiyo maana akawa mstari wa mbele kuhakikisha nakoseshwa wito wangu wa kumtumikia Bwana pale Segerea, lakini ukiangalia matendo yake utajiuliza mara mbilimbli kwamba kweli ndiyo huyu! Tungekuwa tuna namna kutoa ushahidi bila kujulikana ningekuwa tayari maana kisa kizima hiki nakielewa tangu mwanzo hadi mwisho. Ila nataka niwe muwazi, Kanisa naliogopa, sio kutokana na imani,ila Kanisa Katoliki ni Mafia.

 
At 7:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Usiliogope Kanisa. Toa ushahidi wako kwa: antiparthmartin@yahoo.com, hata usipotaja jina lako. Yale utakayoelezea yatasaidia sana swala hili kusonga mbele. Tunawajua walikoseshwa upadri na Severine, hata watu wa jimbo lake. Tunawajua kabisa. Kama kanisa ni mafia, sasa limekutana mafia yenyewe. Sema bila kuongopa. Fanya mawasiliano haraka na antiparthmartin@yahoo.com.

 
At 8:06 PM, Anonymous Anonymous said...

Aliyemjibu Kabuye, ni Baba Askofu Niwemugizi. Tunakubali kwamba Karugendo, alaumiwe. Karugendo,alimjua Severine, ni mlevi wa kupindukia, kunywa pombe akavua nguo na kutembea uchi, Karugendo, anabeba na kumficha. Ni kweli Karugendo ,alifahamu tabia nyingi mbaya za Severine, akazitunza. Mbaya kweli! Mbaya kama Kristu, aliyewambwa msalabani kwa ajili ya makosa ya Binadamu! Pole Karugendo, mtu uliyemsaidia, anakulaumu. Ukome! Usikute, ulifahamu jinsi alivyoshiriki mauaji ya Fratera Onesmo Ruyela, ukakaa kimya? Ukaacha muuaji kukalia kiti kitakatifu cha kuchunga kondoo. Sasa ona na wewe amekuua! Wito wako umekufa mikononi mwake, hata akifanya nini ana la kujibu mbele za Mwenyezi Mungu. Kama ulijua, kweli wewe ni mbaya kama Yesu, aliyewasamehe wenye dhambi wote. Usikute ulifahamu pia jinsi Severine, alivyokuwa mdokozi pale Seminari, akiiba barua za wanafunzi na kuchomoa pesa zao. Wewe Karugendo, uliyajua yote hayo na ukukaa kimya? Akawa padri, akawa Askofu? na Sasa yuko mbioni kuwa Askofu Mkuu?

Sasa anasema eti Karugendo, anatangatanga, kwavile alipewa adhabu za kinyama, adhabu za kikatili. Severine, hana tofauti na akina Hitler na Iddi Amin. Anafurahi kusikia padri wake akigangatanga. sadist mkubwa! Hata hivyo ninaona tunatoka kwenye hoja. Hoja ni Mkunde! Karugendo, anaingizwa kwanini?

Da minja, unasema nini? Utaweza ngoma hii? Hii ni nzito sana! Jaribu!

 
At 11:47 AM, Anonymous Anonymous said...

Suala la kuzini ni la karibu Mapadri wote, hakuna cha Askofu, Askofu Mkuu wala Kardinali. Ni wanaume hawa lazima maumbile yanawadai. Suala lililo mbele yetu ni uzinifu unaoleta hadha kwa jamii. Kwa mfano, tendo la kubaka ni uzinifu unaoleta hadha kwa jamii kwa maana hiyo ni kosa la jinai,tendo la kuzaa mtoto na kumtelekeza nalo linaleta hadha kwa jamii, vilevile nalo ni kosa la jinai. Baba kuzaa mtoto akamtelekeza haina tofauti na mama anayezaa mtoto na kumtupa chooni. Sanasana akina Niwemugizi ndio wanaochochea vitendo vya watoto kutupwa kwenye vyoo. Pongezi kwa mama Mkunde hakuamua kufanya unyama huo pamoja na kuwekwa kwenye mazingira yaliyokuwa yanamlazimisha kufanya vile. Madai ya kwamba Padri Karugendo ana kimada tunachoelezwa kwamba kipo Mhimbili hayawezi kuondoa jinai inayomkabili Niwemugizi. Hata hivyo Karugendo kuwa na kimada hakumjengei jinai labda ielezwe vinginevyo. Hata hivyo habari hiyo hatukuilazia damu, tumeichambuachambua Muhimbili yote bado hatujafanikiwa kumpata mtu anayeelekea kuwa kama huyo anayetajwa. Pengine mtoa hoja atusaidie jina. Hapa ni mambo hadharani.

 
At 12:37 PM, Anonymous Anonymous said...

Kweli ulaji mtamu, ningekuwa mimi ningeisha muomba Baba Mtakatifu aniondolee kikombe hiki. Lakini Niwemugizi bado amekalia kiti cha enzi pamoja na kuonekana anakubaliana na tuhuma zinazoendelea kumnyeshea mithiri ya mvua za elinino! Bwana Niwemugizi, manake kuendelea kukuita Askofu naona kama nakusaidia kuendelea kumbaka mama Mkunde, jaribu kuonyesha uungwana ambao ni nadra sana kuonekana katika Kanisa Katoliki, jiuzuru. Najua utapata tabu kidogo, sababu najua PhD yako haina soko popote nje ya Kanisa, lakini utazoea tu.Si utabaki kuwa Padri wa kawaida? Kuwa kama mwanamme Bwana Niwemugizi hii itakurudishia heshima yako kwa kiasi kikubwa. Usijari kama hizi tuhuma ni kweli ama za kutunga. Kinachoonekana ni kwamba umechafuka sana.Nikupe mfano, ukiwa unatembea njiani ukakutana na kichaa akakurushia kinyesi utaoga au utaendelea na safari yako ukiwashawishi watu wasijari sababu aliyekupaka kinyesi ni kichaa?

 
At 3:18 PM, Anonymous Anonymous said...

Kuna aliyesema kuwa kanisa Katoliki ni Mafia, sijui alisema hivyo akiliangalia kutokea upande gani ila mimi nikiliangalia kanisa kutokea upande wa mbele ( front elevation), yaani kwa kuangalia uongozi wake nakubaliana na maoni hayo asilimia mia kwa mia. Kinachonituma kuamini hivyo ni aina ya viongozi walioshika madaraka ya uongozi katika kanisa hilo. Siwezi kuamini kama uongozi wa kanisa unakuwa hauwelewi vizuri historia ya mtu unayetaka kumpa ukuu, kama uaskofu.Nilishangaa kusikia chaguo la Mwoleka, kama utaratibu wa kurithishana uaskofu unavyoelekeza, limepigwa teke na baraza la Maaskofu Tanzania nje ya utaratibu wa kawaida, na badala yake Baraza hilo likampendekeza Severine Niwemugizi kumrithi Mwoleka.Nilijua kuwa ile ilikuwa ni chuki ya Baraza hilo dhidi ya Mwoleka ambaye msimamo wake na imani yake vilionekana kutishia maslahi ya wadau wa Baraza hilo, Maaskofu wenzake. Kwa hiyo wakaona Niwemugizi ndiye anayewafaa, na anawafaa kweli manaake ndie raisi wao kwa sasa! Nikiangalia historia ya Severine Niwemugizi, kama ninavyomuelewa kwa vile tunatoka kijiji kimoja japo kiumri yupo chini yangu sana, imani inanitoka na kusukumwa kuamini kwamba ni umafia pekee uliotumika kumfanya mtu huyu kuwa Askofu. Wanaotaka kuhakiki ukweli wa maneno yangu wajaribu kuwafuata aliosoma nao kuanzia Seminari ndogo mpaka Seminari kuu. Kikubwa ambacho nataka kukikumbushia ni mauaji ya Shemasi OnesmoLuyera mwaka 1983. Huyu ni mtu aliyekuwa anatoka jimbo moja, wilaya moja, mkoa mmoja na Severine Niwemugizi. Wakiwa Chuo Kikuu cha Theolojia, Kipalapala, walipendelea kutoroka pamoja chuoni kwenda vjijini kunywa pombe za kienyeji pamoja na kufanya ufuska. Ilitokea wakati fulani wakawa wanachangia mwanamke mmoja. Baadae yule mwanamke akapata ujauzito ambao alidai amepewa na Shemasi Luyera. Luyera nae kwa kutaka kupoza moto akamhadaa yule mama kuwa atamuoa. Lakini yule mama alipoona Luyera anakaribia kuwa Padri ndipo akafanya mikakati ya kumnyofoa roho. Siku moja kama kawaida yao Onesmo Luyera na Severine Niwemugizi wakaenda zao kijijini kugida mataputapu. Mara Niwemugizi akamtoroka mwenziwe na kurudi chuoni.Baadae Mwenziwe akaja hali yake ikiwa taabani na muda mfupi akakata roho! Ilibainika kwamba alilishwa sumu. Je, Niwemugizi anakikumbuka kisa hiki?Anaweza akakitolea maelezo polisi na kuishawishi polisi kuwa hakuhusika na mauaji yale? Kwa vile kanisa halipeleki mambo yanayohusu watu wake polisi kifo cha Luyera hakikupewa uchunguzi wa kina.Nadhani wakati umefika kifo hicho kichunguzwe upya ili sisi tulio na undugu na Luyera turidhishe nafsi zetu. Kweli kanisa Katoliki ni MAFIA.Tumsifu Yesu Kristo.

Leonald Lusabya Kabuye
Biharamulo.

 
At 3:38 PM, Anonymous Anonymous said...

Mwana FBI sina muda wa kupoteza. Moja kwa moja naona kwamba Niwemugizi ndiye staring wa tukio hilo.Kwanini alimtoroka mwenziwe? Kwa vile yule mwanamke alikuwa anawachanganya wote wawili, ilikuwa rahisi kwake kumtumia mmojawao kumuhujumu mwingine na ikizingatiwa kwamba hawa marafiki walikuwa wanajua kuwa wanachangia sahani moja ilikuwa rahisi vilevile mmojawao kutumiwa kwa njia ile kusudi abaki peke yake sahani imkalie vizuri.Huu ndio unaitwa urafiki wa mashaka.

 
At 6:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Hata mimi naomba kuwa ANONIMASI kama wenzangu wengine japo sijui neno lenyewe lina maana gani.

Mambo ni kutesa kwa zamu. Ninavyofahamu mimi japo sina ushahidi ni kwamba Padre Karugendo Privatus na Askofu Mwoleka (MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI) ni mtu na mjomba wake. Tangu kuingia seminary (Karugendo) hadi kumaliza amekuwa kwa kiasi kikubwa akibebwa na mjomba. Kama si mjomba bila shaka bwana huyu hasingefikia cheo cha kuchunga kondoo wa bwana.

Sasa mjomba hayupo. Huwezi kuendelea kufanya yale yale ya zamani inabidi ubadilike. Ukishindwa kubadilika inabidi uachie ngazi.

Na ukisha achia ngazi kaa kimya. Hasira na kanisa ni za nini? Mbona wako mapadre wengi walioshindwa na wako kimya?

KAA KIMYA MAMBO KUTESA KWA ZAMU ACHANA NA ASKOFU ENDELEA KUGANGA NJAA.

 
At 1:22 PM, Anonymous Anonymous said...

Karugendo, alibebwa kivipi? Tuelezee. Rekodi yake tunayo. Askofu Damian Kyaruzi, alikuwa Rector wake Ntungamo, tumewasiliana naye, anasema alikuwa safi tu. Fr.Alfonso Ndekimo, alikuwa rector wake Kipalapala, tumewasiliana naye, anasema alikuwa fafi tu. Sasa wewe, Baba Askofu Niwemungizi, unasemaje alibebwa? Toa ushahidi.
Tunajua kwamba kwamba Mwoleka, alikuwa Mjomba, wa Karugendo Alimpendelea wapi?

Kumbe ni kutesa kwa zamu? Tesa kwa kutenda haki. Si kutesa kwa kutenda unyama,
Pole, Askofu, una bahati mbaya, ukiingia kwenye mtandao tunakunasa. Lugha yako ni tofauti kabisa. Wewe tu ndo mwenye chuki na Karugendo.

 
At 6:46 PM, Anonymous Anonymous said...

Kwanini mada inarukwa? Mada ilikuwa kifo cha shemasi Luyera, sasa habari ya Karugendo inatoka wapi? Kama ni Askofu au wapambe wake wanosema, tunataka twende kwa hoja. Mnasemaje kuhusu mauaji yanayoonekana huyu mtumishi mkuu wa Mungu aliyashiriki? Msitake kumfanya Karugendo kapu lenu la kutumbukiza yale mnayoona yanawazidi uzito.

 
At 9:06 AM, Anonymous Anonymous said...

Michango yote hii hii ni ya kihuni. hakuna lugha za watu wa dini hapa. Endeleeni kujianika. Nasi tunaendelea kuwatambua. Mungu awabariki

 
At 2:33 PM, Anonymous Anonymous said...

Mimi naona watu wanamwandama Karugendo kwakitu ambacho hakipo.Hapa swala ni kungalia ukweli wa mambo na siyo kumtumia Karugendo kudhoofisha hoja hii,hata hivyo kama wanadhani ni Karugendo basi ukweliwa hayo yote yanayoelezwa dhidi ya Askofu Severine upo kwa vile wanajua ni Karugendo tu na siyo mama Makunde anaweza kujua.
Swala la kanisa katoliki hasa Africa kutii kichwakichwa bila kufikiri linatuponza sana,USEJA mapadri wetu hawauwezi na haupo kwenye msamiati wao.Wanachofanya ni hikikwanini kufuga kuku wakati unaweza kununua walipo sokoni".Ukitaka kuona jinsi USEJA ulivyoshindikana basi anzia pale TEC-KURASINI, nenda Maseminarini, nenda majimboni, nenda maparokiani, ni uchafu tu katika hilo.Nashangaa mnaomsema Karugendo, mimi sidhani kama bado unajutia upadri,sanasana anawaonea huruma hawa wanafiki.Mbaya zaidi hata wakikutana pale TEC-KURASINI,hawajadili juu ya tatizo la Useja lilivyo majimboni kwao, na hata Niwemugizi ambaye ni RAIS wao hawezi kukemea hata yale yaliyopo pale Mkao makuu yao"NANI ATAMFUNGA PAKA KENGERE!Wakati umefika sasa wa kusema wazi uozo uliopo katika kanisa na hata mara moja tusimtumie Karugendo kama kisingizio pale tunapojadili swala kubwa kama hili. Sasa ni hivi kama si kweli ama kweli tunaomba muhusika yaani Askofu atueleze maana upande wa pili vielelezo vipo. Pina naomba wanaojua lugha ya kanisa KILATINI ama wanaojua KIINGEREZA waandike hili ili Vativcan ijue maana tukiwategemea hawa wa hapa huyu ni rais wao hawawezi kumtuhumu, alafu kmara zote wanalindana.

 
At 2:39 PM, Anonymous Anonymous said...

Tuhuma hizi ni nzito sana, na zinatisha na zitatufanya sisi wana Rulenge tukose imani kwa Askofu.Tunajua tatizo linalowakabiri kuhusu uzinzi katika kanisa lakini ili la kifo cha fratera(mshemasi?)kwa kweli ni kubwa ama udokozi wa barua na pesa ni hatari.Nashindwa kuelewa kwanini Karugendo ameficha yote haya na sasa sisi tunaathirika na siri zake.Kama kweli Karugendo alificha yote haya basi yeye ni wa kwanza kulaumiwa na tunataka aeleze kwanini alificha kama ni kweli.Vinginevyo ni wakati wa Askofu kuwa mkweli kueleza hili, asifiche maana wakati wa viongozi wa kanisa kuonekana Omukama umeisha sasa mambo yote yanakuwa hadharani.Nawe Karugendo kama unasoma blogu hii utujibu kwanini ulificha yote haya na kusababisha maovu yote haya. Ni sawa na matokeo ya dhambi ya Asili amabayo unatufundisha.

 
At 2:55 PM, Anonymous Anonymous said...

Uchaguzi wa Niwemugizi uligubikwa na chuki za maaskofu wa TZ dhidi ya Askofu Mworeka(RIP).Wao walifikiri wanamkomoa mzee wa watu kumbe yeye ndiye alikuwa anawajua mapadri wake na alijua ni nani angefaa, haya sasa ni matokeoa ya chuki hizo, walifuta hata community ya Mkamilishano ili kufuta kila kitu alichoanzisha Mworeka, hii ni siasa mbaya na ni dhambi ambayo maaskofu katika umoja wao hawezi kuikwepa kama like lililotokea pale Kipalapala mwaka 1995-1996 ambapo mafratera walifukuzwa kijinga huku maaskofu wakisikiliza uongo wa Gombera Mushi Faustini MATATA na Marehemu Arkiaskofu Mgulunde. Ukweli uliokuwepo wakati ule ni kama huu Maaskofu wanalindana ndiyo maana hawakuona kosa kwa Mushi mpaka wamempa umonsinyori na ugombera kuleKibosho Moshi shukurani kwa kunywa damu za watu, ajabu sana!Sasa hili limekuja wakati mzuri wa kinyanganyiro cha Uaskofu mkuu pale Tabora, tutaona maana tukichunguza kashfa zao kwa kweli tungekuwa na uwezo tungeiambia ROMA ifunge huduma za mapadri na maaskofu hapa TZ maana ni aibu tu, namsifu Kraugendo aliyeamua kukaa alivyo bila kuwalalamikia na katika hili tusimpake matope Privatus bali Askofu aangalie Ukweli na wenzake pia waangalie ukweli na siyo kwamba wajirekebishe bali warekebishe sheria yao hiyo ya Useja.Na wasifikiri watafanya tena cha Kipalapala kufukuza waseminari kwa vile wameandikwa magazetini kwa wakati huu, ila dhambi ile ya kuwafukuza mafratera itawatafuna mmoja mmoja mpaka wataisha.Ni wakati wa kufikiri zaidi kutumia akili kuliko vikofia vyao.Mtaandikwaa sana maaskofu na mapadri, Yesu alisema haakuna litaakalofichika siko hiyo na alisema mnayoyasikia kwaa siri yaataangazeni juu ya paa, yaani haadharani, tumewavumilia sana meharibu sana familia zetu, meharibu nyoyo zetu,mmevunja sana ndoa za watu,tuliwaafichia siri, tuliwaheshimu lakini sasa tumechoka tutawasema mpaka mkome!

 
At 5:47 PM, Anonymous Anonymous said...

Mi nawashangaa sana, mnajibizana hapa na maneno mengi tu. Hivi mama Mkunde kama yupo kwa nini asijitokeze kwenda mahakamani akidai mtoto wake apewe matunzo, au alishapewa bunda kubwa zaidi ya nyumba?

 
At 11:02 AM, Anonymous Anonymous said...

Kuna aliyesema kwamba michango ya maoni yote inayotolewa hapa ni ya kiuni! Kwa vile ameficha jina lake mimi naona ndiye naodha wa hiyo timu ya wauni anaowasema. Bado namtetea kaka yangu, sababu Wahaya wana usemi kwamba "akyawe kijunda nokara" yaani kitu kikiwa chako utaendelea kukihangaikia hata kama kinaonyesha kuoza. Nimejaribu kulinganisha tabia ya kaka yangu, kama Padri,na Mapadri wenzake sioni tofauti kimaadili, ila tofauti inayojionyesha yeye siyo mnafiki kama walivyo wenzake wengi.Yeye akimpenda mtu au kitu anawaacha watu waelewe mapenzi yake yalivyo. Sijasikia kazaa mtoto kamtelekeza, sijasikia kavunja ndoa ya mtu, sijasikia kamjengea nyumba kimada, sijasikia kafumaniwa na mke wa mtu. Hayo yote nimeyasikia kwa baadhi ya Mapadri, kama na yeye angekuwa anayafanya yasingekosa kujulikana, ikizingatiwa kwamba mahasimu wake wako macho kufuatilia kila anachokitenda. Wangeishatujulisha. Au tuseme wanamtunzia siri? Lakini si walewale waliodai ana kimada Muhimbili? Naapa kwa jina la Mungu simjui huyo kimada, na kwa tabia yake Privatus, nisingekosa kumjua kama kweli angekuwepo.Nawaomba hao wanaojifanya kumtunzia siri wanieleze huyo mama anakaa Muhimbili sehemu gani niende nikamuone.Kwamfano, yule mama anayedaiwa kuzalishwa na Askofu tumeelezwa mahali alipo na namna ya kumpata, na sasa mipango iko mbioni ya wana habari kumwendea.Kwahiyo na huyo anayesemwa kuishi Muhimbili anwani yake iwekwe wazi ili kuondoa unafiki na fitina.

prudencekarugendo@yahoo.com

 
At 3:14 PM, Anonymous Anonymous said...

Kijana wangu Prudence usijali sana hili la akyawe kijunda nokara tunalielewa.sisi tumeapa ta tutalivalia njuga swala hili mpaka kieleweke. Wnataka kudhoofisha hoja na mada ndio maana wanamuingiza Privatus.Sisi tunachotaka kujua je ni uongo mambo haya?na kama uongo kwanini wamsingizie Kalugendo?walisoma Falsafa wanajua maana ya Logic hivyo wapange hoja zao kuonyesha huu ni uongo kuliko kubadili mjadala huu muhimu wa kurinusuru kanisa la Tanzania hasa pale Tabora,tukumbuke ndipo alisoma pale muhusika wetu hivyo hamu ya kwenda pale ipo.

 
At 3:17 PM, Anonymous Anonymous said...

Kijana wangu Prudence usijali sana hili la "akyawe kijunda nokara" tunalielewa.sisi tumeapa tutalivalia njuga swala hili mpaka kieleweke. Wanataka kudhoofisha hoja na mada ndio maana wanamuingiza Privatus.Sisi tunachotaka kujua je ni uongo mambo haya?na kama uongo kwanini wamsingizie Kalugendo?walisoma Falsafa wanajua maana ya Logic hivyo wapange hoja zao kuonyesha huu ni uongo kuliko kubadili mjadala huu muhimu wa kurinusuru kanisa la Tanzania hasa pale Tabora,tukumbuke ndipo alisoma pale muhusika wetu hivyo hamu ya kwenda pale ipo.

 
At 5:25 PM, Anonymous Anonymous said...

Ingawa kunanuhuru wa kusema naona mtoa hoja za hapo juu kwamba kutesa kwa zamu ni adui wa kanisa na huyu ndiye aliyenifanya nichangie.Kusema kutesa kwa zamu hna huku tunatetea uozo basi nadhani tunahitaji second evangelization, maana imani hatuijui kwani hata watenda maovu wanatetewa. Hii sishangai maana hata katika maparokia unaona wapo wadau wa maparoko wanaofaidika huku wakilinda uozo wa mapadri.Hatuwezi kwenda hivi, hatuwezi kufaidi hivi na kuacha kukemea maovu eti kutesa kea zamu.Kwanza jibu kama hili ni UHUNI na halina chembe ya IMANI ndani yake,inamaana sasa ANATESA KWA ZAMU katika hilo ama hayo anayopigiwa kelele na kutuhumiwa?Acheni ushabiki katika hili kama mna imani kweli ya Bwana Yesu Mfufuka basi daima UKWELI UTAWAPENI UHURU,tafuteni ukweli katika hili na kama kweli basi si katika cgheo cha uaskofu mkuu tu bali hata uaskofu, upadri, ushemasi mtu mwenye mtoto ni kikwazo labda kanisa la mashariki.Hili halina kutesa kwa zamu bali kuangalia imani inavyodidimizwa na huko kutesa kwa zamu.Eti hawawezi kukataa kufuata USEJA kama umewashinda mbona la mashemasi wa kudumu kama nchi za Ulaya wamelikataa na bado wana umoja na Roma sasa kwanini wasikatae la useja,ama kwa vile hawaufuati wanaona boara kukaa kimya na kujitafunia kondoo kiulani na kuwa na watoto.Hapa wanajiundia dhambi sdhidi ya viapo vyao vya useja na papo hapo wanazini na kufanya uasherati uliokubuhu.Hakuna kutesa kewa zamu labda kama unataka kwenda motoni.

 
At 1:53 PM, Anonymous Anonymous said...

Nyie wenyewe mnaoandika hapa wafuska wakubwa, mnavunja ndoa za watu na tunawafahamu. Kwani askofu kuwa na mtoto ni kitu cha kushangaza? mmezalisha wangapi mitaani nyie. La msingi ampe matumizi Mkunde. Baba askofu usiwe na hofu wala wasi wasi hata ukichaguliwa na papa kuwa askofu mkuu Tabora, kazi unaiweza. Watu wanakusingizia, tunakufahamu utendaji wako wa kazi.

 
At 2:12 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu Niwemugizi ni mtu mwema sana. Sawa yeye si malaika anaweza kukosea kama wengine. Sula la mtoto Mkunde wa Arusha limeibuka tu mara baada ya kifo cha Marehemu Mgulunde(Mungu amlaze pema) na tetesi kuibuka kiaina kuwa anaweza kumrithi pale Tabora. Kama msemaji hapo juu alivyosema, kuwa na mtoto si kitu cha kushangaza, ili mradi kazi anaiweza. Na nyie mnaosema anamtesa Karugendo, je mnajua chanzo cha yote hayo? Muulize Niwemugizi atawambia. Baba askofu tulie,
usiwe na hofu, tunakuombea upige kazi yako na Baba mtakatifu akiweza akupeleke Tabora.

 
At 2:40 PM, Anonymous Anonymous said...

Haswaa. Na Baba Askofu ukiwa askofu mkuu muite mama Mkunde umtundike mimba nyingine maana kazi hiyo pia unaiweza. Hongera sana, una vipaji vingi sana - hata vya uzazi!!!! safi dume la mbegu. Lazima mwanaume uwe lijali bwana. Hayo ya useja ni ya Warumi. Wewe tandika fimbo tu! Safari hii mama Mkunde mjengee ghorofa maana kavumilia sana kumlea Mkunde peke yake. Ukishindwa ghorofa basi nyumba nzuri kama ile uliyomjengea mama yako. Kweli una PhD! maana Mama mkunde umemjengea nyumba na baa; mama yako nyumba nzuri; wewe mwenyewe shangingi na internet huko Rulenge! Unatesa kwa zamu na Karugendo anaganga njaa mtaani!!!! Yesuuuuuuu, njoo uokoe kanisa lako! limevamiwa na malijali.

 
At 3:49 PM, Anonymous Anonymous said...

Niliongea na maaskofu wawili(kwa nyakati tofauti, nawatunza moyoni) baada ya sakata la mtoto wa NiweMugizi na nafasi ya TABORA.NILIYOJIBIWA NI HAYA;
1.Anayonafasi ya kuwa kiranja mkuu wa metropolitan ya Tabora hasa kwa vile ni Rais wa TEC kwa sasa-sifa mojawapo.
2.Swala la mtoto si lamaama kwa wakati huu maana tayari ni askofu hivyo Roma ina siasa yake.Yani inafuata Politics of Religion amabayo ni tofauti sana na Religion of Politics, hivyo basi kitakachofuatwa ni Uvuvio wa Roho Mtakatifu ambao unaanza kwao na siyo kwa watoa hoja za kupinga-hierakia.ROMA INA MCHACHATO wake na siyo kama ilivyokuwa pale DOM
3.Metropolitan ya Tabora haina mwenye sifa kumzidi yeye, umri wa kiasikofu na mengine.
4.Ana baraka za hayati POPE John Paul II kwani alibahatika kuongea naye siku chache kabla ya kifo chake wakati wa Ad Limina visit ya Episcopal Conference ya TZ mwaka wa jana.Roma inamuona kirahisi katika kumbukumbu.
Kwa maoni yao hao maaskofu wawili nilioongea nao kwa wakati tofauti hawaoni kama magazeti yataharibu nafasi yake hiyo na mchakato mzima wa uteuzi wake.
Kuhusu haya yote wanasema katika kile wanachokiita URIKA WAO na kuwajibika kwao kwa pamoja(Collective responsibility) tuwasikilize wakati wakiwa MBULU ama Tabora kwenyewe watatoa kile ambacho waandika hoja za aina hii kitakuwa uzibe kwao.Na wamesema kanisa halitoyumbishwa ama kutikiswa kwa mambo kama haya. Asanteni, nimewaletea hayo ili nanyi msime.

 
At 8:10 PM, Anonymous Anonymous said...

Waandishi wa habari wataweka bayana katika magazeti yetu hivi karibuni. Mama Mkunde, Mkunde na Antiparth wameenda kuhojiwa Arusha. Anayejua habari zaidi namna ya kuwapata aweke hadharani. Baba Askofu atafuatwa pia japo inaonekana ameshajieleza hapo juu eti hamjui huyo mtoto ni wa kike au kiume! Waliopitia Segerea wakati Padri Severini NiweMugizi akifundisha na huyu Consolata Kyala akiwa mhudumu wawe tayari kutoa ushirikiano.

 
At 11:00 PM, Anonymous Anonymous said...

Na waandishi wa habari huko Arusha wakijua kumbe mama Mkunde ni fix pia tuambiwe magazetini ili tuwatafute na kuwaadibisha hao wanaochafua majina ya watu.

 
At 11:19 PM, Anonymous Anonymous said...

Nimefurahi sana kwa waandishi wa habari kwenda ili watuhabarishe. Ikiwa kweli sisi hatumtaki askofu mzinzi jimboni kwetu. Kama wanamuona mali sana wamchukue Roma akazalishe waitaliano.

 
At 8:38 AM, Anonymous Anonymous said...

Nimefurahi kwa majibu yaliyotolewa hapo juu na maaskofu wawili walioongea na huyo jamaa. Hata mfanyeje tamko la mwisho wanalo maaskofu. Kuwa na mtoto ni kitu kidogo sana nakuhakikishieni. Ngoja tusubiri hao waandishi wa habari. Na kwa taarifa yenu hivi mnadhani kama Kardinali Pengo yangefuatwa ya magazetitini angekuwa kardinali kweli?
Acha umbeya wanaume wazima. Rulenge tunampenda Askofu wetu. Kaa kimya mfanye kazi zenu.

 
At 9:39 AM, Anonymous Anonymous said...

Ya marehemu Shemasi Onesmo, ni mwiba kwa Askofu Severine, hawezi kusema kitu. Na yule anayesema Roma, haiwezi kuangalia yote haya anajidanganya. Roma, imechoshwa na Mapadri wa Afrika na Maaskofu kuzaa ovyo ovyo. Mkunde, akiwekwa wazi, kuna hatari Severine, kuvuliwa na Uaskofu wake!

Aliyechangia hapo juu, amesema kama ya Kardinali Pengo, yangewekwa wazi, basi hata na Ukardinali, asingepata. Nani angeyaweka wazi? Magazeti, yasingeaandika. Mtandao ulikuwa bado. Ndo tunakokwenda huko, kuyaweka bayana yote. Usiwe na wasi wasi, tunakwenda huko kwa Pengo. Mbona una haraka? Tunafanya utafiti wa kina. Tutaanza na msaidizi wake Askofu Kilaini. Ana watoto wawili. Lakini huyu hakuwatelekeza. Aliwapeleka nyumbani kwao katika Kijiji cha Katoma-Bukoba. Wanalelewa pale. Mmoja ameolewa na Mwislamu juzi tu, lakini jamaa amebadilisha dini na kuwa Mkristu! Amepewa na magari ya biashara.

Hivyo tuko mbioni kuyaweka wazi yale ambayo yalishindikana kuingia magazetini!
Vuta subira.

 
At 9:58 AM, Anonymous Anonymous said...

Nimekuwa nikiwasiliana na mtu anayejipachika jina la Azimio Byabusha,
Soma aliyoniandikia hapo chini na ulinganishe na mchangiaji mwingine ndani ya Blogu.
Antiparth Martin, antiparthmartin@yahoo.com


Mheshimiwa Antiparth
Salaam
Nasikitika sana kuona unanibebesha mzigo wa kufikiria kuhusu blog. Hivi blog hiyo ni ipi na inazungumzia kuhusu nini. Mimi sielewi kwani nimekuwa ninawasiliana na wewe kupitia njia ya e mail, lakini sasa naona unanihamishia kwenye blog. Naomba unipatie adress ya web hiyo kusudi niweze kusoma na kujua ni nini kinachoendelea. Ujinga unaonibebesha wakati sijui blog hiyo ni kunikosea haki, blog hiyo imejitangaza kwa kila mmoja kuweza kusoma na kujua jinsi ya kufungua? kwanini unanifikiria kuwa kwa sasa ninachangia katika blog hiyo! Mjinga utakuwa wewe sasa kama utaanza kuhisi kilamtu unayemfikiria kuwa anaweza kuandika katika blog hiyo.
Kuingia katika blog kunasaidia nini, kama sio majungu tu! unafikiri hilo litakusaidia? nenda katika mahakama na kushitaki labda itakusaidia lakini kuandika tu katika blog na e mail, hayo ni mambo ya kihuni kwani hata michango mingine inachangiwa na watu wahuni tu! usio wajua, na wanachangia mada kama ulivyoileta katika blog! nafikiri ni jinsi ya kujifurahisha katika kutukana na kukashfu watu wengine.
Mimi Blog hiyo siijui na wala sijawahi kuisoma.
Bado ninakusihi kuwa mimi ni Azimio Byabusha, kufikiria vinginevyo ni makosa makubwa.
Maadamu unasema umeweka mjadala katika blog, haya nakutakia mafanikio mema katika kusambaza kashfa, lakini ujue kuwa utajibiwa na kuchangiwa na watu mbalimbali, mimi sina mda huo! naomaba usinisumbue katika mambo ya blog, kama hauna cha kuniambia, najua kuwa yote uliyoniandikia siyo ya maana kwangu, naomba ukae kimya kabisa!

 
At 12:24 PM, Anonymous Anonymous said...

Duh, hiyo kali. Nadhani vyombo vya habari hasa internet vitasaidia sana. Kumbe Kilaini pamoja na makeke yake Dar ana watoto hapo Katoma. Naomba wanaofahamu waiweke wazi kabisa kila mtu ajue. Hiyo ya baba Mkunde naomba utafiti uendelee.

 
At 12:29 PM, Anonymous Anonymous said...

Yani wewe Antipath kumbe upo na huwa unachangia mijadala eti? sasa kwa nini usitusaidie katika suala zima la Mkunde?
Ila utupe ukweli vinginevyo tutajibu mbele ya Mungu

 
At 12:44 PM, Anonymous Anonymous said...

Namsifu huyo aliyeongea na maaskofu ujasiri huo alikuwanao Simon wa Kirene.Ok, nataka nimueleweshe haya na hao maaskofu wake.
Kusema kuwa ni Rais wa TEC kama sifa moja wapo ni uongo, waliomtangulia wote wamekuwa hivyo kutokana na tiketi ya uaskofu na siyo Urais.Hata Kardinali alipata nafasi hiyo ni kutokana na Uaskofu na sio ukiranja nadhani wakati huo kiranja alikuwa SAMBA.
Pia kusema katika Metropolitan ya Tabora hakuna mwenye sifa ni kumfagilia ,kama PhD yupo mmoja mwenye nayo, na kama umri wa kiaskofu yupo mmoja alitemzidi na ameshashika nyazifa mbalimbali katika TEC.
Kusema la mtoto kwasasa siyo deal ni kujifariji na kulindana maana wote kwa asilimia kubwa wana watoto kama itakavyowekwa wazi kadiri muda unavyoenda.Wakumbuke kuna Askofu ametimuliwa baada ya kubainika kwamba alikuwa anawalawiti waseminari huko Ulaya, sasa sembuse hili,najua wanachokitu kinachoitwa kwamba"the law is not retroactive" kwamba haiwezi kurudishwa sheria nyuma kumbada mtu, hapa hili halitumiki, NI KWAMBA SHERIA ILIKUWEPO YA USEJA KABLA YA JANGA HILI HIVYO NI USHAIDI TU UTATOSHA Mhashamu kuitwa ROMA kwa mapumziko.
Na hilo la collective responsibility ama kuwajibika kwao kwa pamoja kunawaponza sana hata kulinsdana katikamabaya TEC hata majimboni.Hawa ni vijana wote lugha zao zinaendana, tunasikitika kuwa wazee ambao wangewasaidia kujua maana ya uaskofu na kuuishi wameshakufa wote.
Kuhusu kutoa tamko la kutuziba midomo naomba waasifanye maana wataajipalia moto kwa taaarifa sasa hivi data na facts juu ya maaskofu 29 wa TZ watu wanazo wanasubiri tu kuzitoa kwa kila muda utakapotimia kumbe kufanya hivyo watajijutia maana watasababisha kusambaratisha kanisa kabisa na kuondoa utulivu wanaoufaidi. Hili litakuwa kubwa kulioko la wanamaombi maana hili litatoka kwa walei na siyo kwa mapadri wao.Mtawafungia walei?thubutu,VATICANII imetupa nafasi sana ingawa mmmetubada katika Sinodi yenu.
Mwisho natoa ushauri wa bure, maaskofu nyamazeni haya mambo ni makubwa mtaaibika.Ila baada ya nyinyi watafuata mapadri wenu,waseminari wenu na mwisho masista wenyu ambao kwa sasa ni wanawake zaidi ya wale tuliokuwa nao sisi.

 
At 12:49 PM, Anonymous Anonymous said...

Ni sisi wenyewe waumini kumkataa askofu iwapo hafai harafu tuone Roma itafanyaje na mzinzi wake. Kwani Lukanima yupo wapi sasa!? Si Arusha wamemkataa na karudishwa kwao Ukerewe! Tena sasa kachoka kweli!

 
At 5:20 PM, Anonymous Anonymous said...

Kufanya mapenzi wakati mmekubaliana na mtu ni haki ya mtu " Human right". Kaka Baba Mkunde aliamua kumpiga mti mama Mkunde kwa makubaliano hakuna noma wala nini. Roma haya si marudio, mafaili yao yamejaa makesi kama hayo. Nawahakikishia baba Mkunde atazidi kupeta, labda waumini wa waandamane. Halafu huu mtandao sijui ni wangapi wanausoma huko Roma au maaskofu wenyewe zaidi askofu Baba Mkunde. Tatizo ukitoa habari hizi katika gazeti uwe tayari kuburuzwa mahakamani, mwachie jamaa aendelee na ngono zake ili mradi apige mzigo, kwani rais Clinton, si alikuwa anamlamba Monica Lewinsky lakini uchumi wa USA ulipanda kiasi kikubwa. Baba Mkunde we poa, ila usimpe mimba nyingine .....itakuwa sooo.

 
At 5:24 PM, Anonymous Anonymous said...

We unayesema waseminari na mapadre wana mambo ya ngono, kwanza jiulize sisi walei tunafanya mangapi kuhusiana na suala la ngono. Waachie jamaa ili mradi wasivunje nyumba ya mtu au kukamatwa, sheria ni kali kwa sasa na hasa wakati huu wa rais JK.

 
At 6:16 PM, Anonymous Anonymous said...

kwani sisi walei tuna kiapo cha useja? acha yako kwanza wewe si mlei ni padri nakujua sana unajifanya kuturudishia sisi?ongea na wasiooa wenye ndoa zetu tunaishi kwa uaminifu ambao nyinyi mnaufudisha bila kuuishi.Alafu kigezo cha walei KAMWE kisitumike kujustify UZINZI ndani ya kanisa.Sana sana watu wanafanya uzinzi kutokana na nyinyi ambao mnatufundisha kuacha dhambi kubobea katika dhambi tena kutushinda sisi walei, acha hizo hukulazimishwa kwenda upadri na hata walipotaka kukufukuza ulikasirika sana,. ulikuwa hufai ukalazimisha sasa baki huko usichukue walei kama sababu.Hakuna mlei atakayekuwa na hojan kama hiyo maana anajua si walei waliokula kaiapo cha USEJA.Tumewavumilia sana msitake visingizio, mtadaiwa mengi mbele ya huyo mnayetesa.Kuwaachia ni wao kubadili mfumo wao wa USEJA na waoe au watutangazie kwamba hakuna USEJA kwasasa maana ndiyo inavyoelekea.Usijifanye kuwatetea mwenzako aliyeandika ana imani na dini wewe ni mmoja wa wadau wa kuendeleza uozo kanisani,

 
At 4:22 PM, Anonymous Anonymous said...

Haya sasa mmefikia kikomo, meshasaliwa NOVENA madhara yake mtayaona mnacheza na kanisa?shauri zenu na sasa mtaona kitakachofuata, hii Vaticana bwana imejengwa juu ya MWAMBA na hao manaowasema ni wale waliokabidhiwa funguo kufungua na kufunga.Ole wenu!

 
At 6:11 PM, Anonymous Anonymous said...

We bwana acha vitisho visivyo na msingi wowote, unasalia nivena na kwa watu wanaoendekeza ngono.
Lazima kanisa litikiswe. Na bado...

 
At 6:29 PM, Anonymous Anonymous said...

Ni kweli mimi Antiparth, ninachangia. Jamani,mnataka niwapatie habari gani? Niliwambia Consolata Kyara, yuko Maji ya Chai, Arusha. Ana mtoto anaitwa Mkunde. Ana kitu kinaitwa Holyday Inn. Ni dada wa padri Josep Matumaini. Padri Matumaini, alikuwa Paroko wa St.Joseph. Sasa hivi anasoma kule Roma.

Kuna mtu amefika Maji ya Chai, akashindwa kumpata Mkunde? Ni uvivu wenu. Mimi nimewapatia habari zote. Fanyeni kazi.

Hili la Kilaini, liko wazi.Fika Katoma, kila mtu anajua! Mambo yako wazi kabisa, ila sema watu wamepumbazwa kiasi kikubwa.

 
At 6:48 PM, Anonymous Anonymous said...

Juzi niliwambia kwamba nilikuwa nikiwasiliana na mtu anayejipachika jina la Azimio Byabusha. Lugha ya mtu huyu inajitokeza kwenye Blogu. Akijitokeza mtu huyu ni kumtetea Askofu. Lugha yake ni ile ile. Leo ninawaletea tena mawasiliano yangu na yeye, ili mlinganishe.Si vigumu kumtambua:

Mon, 13 Mar 2006 15:29:02 +0000 (GMT)
From: Send an Instant Message View Contact Details View Contact Details Add Mobile Alert
Yahoo! DomainKeys has confirmed that this message was sent by yahoo.co.uk. Learn more
Subject: Kashfa

Ndugu Antiparth,
Nashukuru sana kwa E mail, na ninashukuru kwa kunielewa kuwa mimi sio Bishop Severine. La msingi kuelewa vilevile ni kuwa mimi sija teka nyara e mail ile ya kwanza, ilikuwa fowarded kwangu, utaalam wa kuteka nyara e mail bado sija ufahamu!
Nashukuru kufahamu habari mbalimbali za Rulenge zinazo husiana na kashfa za Masista na Askofu Severine akishirikiana na Bosco kama ulivyoeleza.
Ndugu antiparth napenda ufahamu kuwa katika ulimwengu huu kuna mengi yanayosemwa kuwahusu watu mbalimbali lakini ukichunguza hayo yanayosemwa ni aslimia ndogo sana yenye kuwa na ukweli. Hivyo kabla ya kuyaweka mambo ambayo hauna uhakika nayo hadharani ni vizuri kufanya uchunguzi wa kina, na kuwa na uhakika kusudi unapoweka mambo hayo hadharani basi pasiwepo swali lolote la kijiuliza.
Sasa kuhusu magonvi ya Masista wakimpigania Askofu ki mapenzi kweli unaweza kulihakikisha hilo? Walionyanyaswa, kama ulivyo wataja, walinyanyaswa vipi? je niwao wanao jisemea hivyo? au kuna anayetafsiri hali zao!
Mambo ya Kanimba, kweli unaweza kuhakikisha kuwa Bosco ndiye aliye mpa mimba, unaweza kuhakikisha vilevile kuwa Mkuu wa shule ya Rama alishiriki katika kutoa Mimba? je Mtoa mimba anakubali kuwa alitoa Mimba?
Sasa wewe uko Arusha, Maji-Chai, kama sikosei, unafikiri habari ulizo nazo, ambazo ni za kuambiwa zina ukweli wowote?
Utasikia mengi si tu kuhusu Jimbo la Rulenge bali hata Majimbo mengine, lakini sio yote kuwa ni ya kweli. Huwenda yote yakawa ni uongo. Basi mimi ninakushauri ni vizuri uendelee na kuwajibika na shughuri zako za kawaida haya mambo ambayo ni "Umbea" uachane nayo kabisa kwani yatakuumiza bure na huwenda yakawaumiza hata wengine watakayo yasoma na kuona wazi wanyosingiziwa.
Jambo ambalo sikuelewa huyo Fr. Matumaini ni nani? Ndiye anaitwa Joseph Matumaini, na ndiye kaka wa Consolatha kama ulivyo sema hapo awali? uanaweza kunieleza hilo kama unaona inafaa!
Mimi sala zangu ni za kawaida kwa watu kama ninyi ambao mna matatizo yanayo onekana wazi. Kwani huoni kuwa unamatatizo? hasa matatizo ya hilo unaloleta katika public.
Basi nasubiri kusikia hayo mengine, na bado sijasikia kuhusu mahojiano ya BBC na Baba Askofu Niwemugizi.
Kama nilivyo kueleza tangu awali mimi simtetei Askofu, bali najaribu kuonyesha na kuchambua habari na kashfa unazozitoa kumhusu Askofu wetu Severine Niwemugizi.
Natumaini nitaendele kupata habari kutoka kwako.

Ubarikiwe
Azimio

 
At 8:47 PM, Anonymous Anonymous said...

Bwana Antiparth sasa unazidi kutupa mwanga zaidi. Kumbe Fr. Joseph Matumaini ni shemeji wa Severini NiweMugizi, Askofu wa Rulenge na bosi wa maaskofu!!!!unaona sasa umafia unavyojionyesha. Dada yake amejengewa nyumba Arusha na kupewa biashara ya bia, pengine shemeji yake huyohuyo ameweka mkono wake ili Matumaini akasome Italia. Tumezoea kupeana takrima katika siasa zetu, sasa pengine huko kusoma kwa Fr. Matumaini ina katakrima ka baba askofu kwa ajili ya kumtunzia siri ya Mkunde! Kumbe kote kwenye dini na uraiani mambo ni yaleyale tu!!

 
At 11:24 PM, Anonymous Anonymous said...

Hivi Padre Karugendo mbona hatoi mchango wake au anachangia kwa kama "anonimasi". Ningependa kusikia mawazo yake katika sakata zima la Baba Mkunde.

 
At 11:05 AM, Blogger mwandani said...

Likifika oni namba 100, nitaomba tutathmini mada na kutoa pongezi kwa wanamjadala na kwa blogu ya kwanza ya kiswahili kuendeleza mjadala na kufikisha maoni 100.
Ahsanteni.

 
At 11:06 AM, Anonymous Anonymous said...

Mimi nina wasi wasi sana na Bwana Azimio. Hilo ni jina la geresha tu. Huyu Azimio atakuwa Baba Mkunde(Severine au Padre wake fulani). Aaache kutuyeyusha bwana.

 
At 11:07 AM, Anonymous Anonymous said...

Ni kweli Mwandani, wazo lako ni safi kabisa.

 
At 3:53 PM, Anonymous Anonymous said...

Wewe unayesemamambo ya Novena unakufuru, unafikiri novena ni jibu la kutetea uovu/hata mkisali mbele ya Tebenakulo mtamuhuzunisha Kristu tu na kumzidishia mateso kama yale aliyofanya Yuda. Kwa taarifa yako hata SHETANI naweza kusali Novena kutetea ushetani wake kawni hukuona alivyokuwa fundi wa kutumia maandiko kumfanya Bwana Yesu amsujudu?kumbe NOVENA nzuri nitakuwa ya kuliombea kanisa lipite salama katika uozo wa WACHUNGAJI badala ya kutuombea sisi tuache kusema ukweli, haya endeleeni kusali Novena na sisi tutaendelea kufichua UOZO sasa ni nani atahesabiwa haki tutajua mbele ya Mungu.

 
At 4:07 PM, Anonymous Anonymous said...

Sioni ajabu kusikia kuwa Consolata(Console-Mfariji) ni dada ya padri maana hawa jamaa wakikutembelea nyumbani kwako kama una dada zako ama mke wako ni kijana basi ujihadhari, kuna jama alisema hawezi kumruhusu mke wake kufanya kazi yoyote ya kanisa zaidi ya kwenda kusali, sasa angalieni dada ya padri nadhani wakati huo alikuwa mseminari badala ya kumheshimu yeye kafanya mwanamke! isitoshe hao wasichana wanapofanya kazi maseminarini kama huyo livyokuwa Segerea ni wasichana wa kawaida, maskini kinachowaponza ni kukaa katika mazingira ya seminari na kama alikuwa dada wa mseminari kwa wakati huo basi alikuwa na utii alifikiri akikataa basi nikosa, WAKULAUMU NI HUYO ALIYE MCHUKUA NA HUU NI UNYANYASAJI WA KIJINSIA SIDHANI KAMA CONSOLATHA ALIKUWA KWELI TAYARI KUFANYA HILO,naomba tulitazame na jambo hilo la unyanyasaji wa wafanyakazi ambalo Mhashamu alifanya, mbaya sana mtatufanya tuwafuatilie huko majimboni na maseminarini, mnajua sana kuwaajili wasichana na kuwafanya wake zenu.Linalofuata ni kupitia kila Dayosisi kuona hao vimwana mliowaajili kwa tiketi ya Masekeretali wenu!mtajuta dawa yenu haipo mbali, Matumani tunakupa pole kwa kuficha siri hii kama ni kweli.

 
At 5:52 PM, Anonymous Anonymous said...

Kwa uzoefu wangu ni kwamba akina mama kibao wanawatafuta mapadre, kume padre akiwa mwepesi wa kufungua zipu lazima mke wako apigwe fimbo.

 
At 8:34 PM, Blogger boniphace said...

Mimi nitaingia katika hoja hii kwa staili nyingine maana sina shaka haya ni mafanikio makubwa kwa NKYA na gazeti Tando lake linalopachika mara kwa mara habari za kiuchunguzi. Kaka tunza maudhui hii na usiiache kabisa maana haya ni mafanikio makubwa na inaonyesha kuwa jamii yapenda mambo serious tofauti na tulivyodhani huko nyuma. Sula la wachungaji, wa Mungu nadhani wanahitajiwa kuandikiwa kitabu bila kuogopa maana wamezidi, wanapenda mno ngono na wana tamaa mno kuliko hata waliooa. Wanapenda pia kulawiti hawa yaani ukifatilia sana mambo yao ya ndani na wengine wamezalia watoto katika numba za misheni mifano tunayo ya kutosha. Kwa nini mjadala huu tusiutafutie sehemu jopo likakutana tukaanza kupachika hoja kwa mifano. Cheza karata yako inawezekana, atutaki mbweha katika kundi la kondoo zama hizi! NI BORA WAONDOKE HUMO KULIKO KUTUDANGANYA SISI NA MUNGU ALIYEWAUMBA!

 
At 1:27 PM, Anonymous Anonymous said...

Huyu anayeulizia Fr karugendo namshangaa sana, kwani hajui hata jinsi anavyoandika makala zake. Karugendo kati ya wachangiaje hao 102, wanaweza kufikia zaidi ya 50. Anajirudiarudia mara kwa mara kujibu hoja za watu. Wengine ukiangalia ama ni mapadri, walio karibu na kanisa na waliopitia seminarini. Walio nje ya mfumo huo ni wachache, ndio maana wengi wasingependa kutambulika. Naona karugendo unaraka kuwaingiza na wengine katika mjadala wako, Kina Askofu Kilaini wanakuhusua nini? nao una hasira nao? lakini ulishawahi kuwaandika katika makala zako katika Rai, hivyo hatukushangai sana, ila unachoshindwa ni kutofautisha madai yako ya siku nyingi na hili, ndio maana tunakutambua kwa urahisi. NInachokiona hapa ni MAWAZO YA WATU WA CHINI, AMBAO HUJADILI WATU BADALA YA HOJA

Tumsifu yesu Kristu

 
At 1:57 PM, Anonymous Anonymous said...

Kuna aliyetukumbusha kwamba Kanisa limejengwa kwenye mwamba na hawa wakuu wa Kanisa ndio wamepewa funguo, bila shaka, funguo za Mbinguni. Maana tunafundishwa kwamba watakacho kifungulia duniani kitakuwa kimefunguliwa Mbinguni na watakachokifungia duniani kitakuwa kimefungiwa Mbinguni. Sasa haya yanayosemwa kama yana ukweli wowote hii ni hatari. Kama uzinzi umefunguliwa duniani na waliopewa funguo, ina maana hata huko Mbinguni kumejaa wazinzi watupu! Kwahiyo watu wa Mungu hatuoni kuwa kuna umuhimu wa kuwavamia hao watu na kuwanyang'anya hizo funguo ili wasiendelee kuinajisi Mbingu ya Mwenyezi Mungu. Bila kufanya hivyo sintashangaa Mungu akituwajibisha sisi kwa kosa walilotenda hao waliopewa funguo.

 
At 2:24 PM, Anonymous Anonymous said...

wewe UNAYETUITA SISI WANAZUONI NI WATU WA CHINI KWA VILE TUNAJADILI WATU BADALA YA HOJA HUELEWI.Hoja zote zinajengwa kwa watu hakuana mambo ya tabulalasa hapa, ebu nieltee hoja ambayo kwa upeo wako itakosa kumuingiza mtu?Ni ajabu sana kusema hivyo ingawa umeonyesha upeo wako na uwezo wako.
Na kuhusu wanawake kuwapenda mapadri, najua hoja hii kaitoa padri, hapana HAWAWAPENDI bali wanawaheshimu kumbe manapo watongozaanakuwa na woga kuwakataa, alafu mara nyingi manatumia pesa na vuvutio vingi kuwashawishi,na mara nyingi mnawabaka , tunazo kesi zenu, baada ya hii tutatoa orodha ya WABAKAJI NA MLIOWABAKA, usicheze na sisi tumeapa kulokomboa kanisa kutoka katika mikono ya Wachungaji Msiofaa, mnajua kuchinja KONDOO TU,OLE WENU.
Na huyu anayejifanya anamjua Karugendo amajidanganya na kumuonea sana, wachangiaji wa hoja hii ni wakereketwa dhidi ya maovu ya Wachungaji wa KIKATOLIKI, Privatus ni mmoja ya wachungaji hao ingawa ameonewa kwasasa, hivyo haya yanamuhusu sijui kama kweli atachangia dhidi ya wachungaji wenzake, hivyo usimuonee, TUPO WATU KIBAO WENYE UCHUNGU.
Alafu acha za Tumsifu Yesu Kristu, unaitumia vibaya(Killing in God's Name), jina hilo ni tukufu na ni kuu acha hizo, utaingia dhammbini.
Kuhusu akina KILAINI, Ni sawa maana tuna Orodha ya maaskofu 29 na kashfa zao,labda tu amewahi kulitoa jina hilo maaana tunaanza mmojammoja, jiandae kusoma na kama wewe ni askofu ama padiri,basi anaza kutia maji kichwani,zamu yako inakuja.

 
At 1:47 PM, Anonymous Anonymous said...

Nkya,
ukiweza tuwekee ukurasa wa mbele mjadala wote. Au labda uweke kwenye ripway...sijui. Tafuta njia yoyote nzuri ya kutunza mjadala huu na kutuwekea mbele kabisa maana kinachotokea hapa hakiwezi kutokea magazetini. Habari hii ingeandikwa kwenye gazeti, watu wangesoma na kujadili ila kusingekuwa na uwezekano wa kuunganisha mjadala wa wasomaji kama ilivyotokea hapa bloguni. Lakini pia habari hii imeonyesha jambo jingine: kuwa magazeti yanaanza kuchukua habari zilizoko kwenye blogu. Hii inatokea sana kwenye nchi nyingine ambako siku hizi kuna waandishi wa magazeti na luninga ambao kazi yao ni kusoma blogu ili kutafuta habari.

Nitaongelea suala la uoga wa kuhoji kanisa kwenye uliyoandika kuhusu Galileo.

 
At 3:52 PM, Anonymous Anonymous said...

Nkya,

Mjadala huu nimekuwa nikiupitia kila siku huku nikiyamezea maoni yangu juu ya hili. Lakini leo naona na miye nichangie.

Awali, kwa wale waliowahi kusoma katiak miaka ya sabini mpaka mwishoni mwa miaka ya themanini shule ya sekondari Kigurunyembe, Morogoro au waliwahi kushi Morogoro katika mika hiyo watakuwa wanamkumbuka Father Canute Mzuanda. Marehemu Father Canute alikuwa ni Mlezi wa shule ya sekondari Kigurunyembe, Principal wa chuo cha Social, msimamizi wa hosteli ya mchikichini, na mmiliki wa bendi ya matarumbeta ya Mchikichini.

Marehemu Father Canute alikuwa ni mtu aliyeheshimika na kuogopewa sana na watu waliokuwa karibu yake. Lakini Marehemu Father anute alikuwa ni mtu mwovu sana tena sana tena mno kabisa. Sina hakika ya kuthibitisha kisayansi kwamba alikuwa na akili timamu. Mimi binafsi siamini kwamba alikuwa na akili timamu. Alikuwa ni psychopath, megalomaniac, mzinifu, na mkatili. Ninasema alikuwa psychopath kwa jinsi alivyokuwa akishirikiana na kundi la wanabendi wake kutesa wanafunzi waliokuwa wakiishi hosteli ya Mchikichini. Unyama wa wanabendi ulikuwa unaongozwa na kijana Joseph aliyejulikana kwa jina la Joseph Chaibado ambaye anasemekana alikuwa ni mwanaye. Joseph Chaibado si tu kwamba alikuwa anapiga vijana wa hosteli alikuwa pia anawanajisi wasichana wa hosteli. Jambo hili lilikuwa linajulikana lakini Father Canute alikuwa anamlinda Joseph Chaibado. Mimi mwenyewe binafsi nimewahi kumuokoa Dada mmoja ili asinajisiwe na Joseph Chaibado. Huyo dad ni rafiki yangu mpaka leo. Kwa sababu ya kumuokoa amekuwa kama ndugu yangu mpaka familia yao inanifahamu.
Joseph aliwahi kumalazimisha kijana mmoja kumlawiti msichana mmoja mwanafunzi. Jambo hili likafikishwa shuleni. Mkuu wa shule Mwalimu Magere alimfukuza shule huyo kijana lakini Joseph Chai bado hakufanywa jambo lolote. Kwa miaka yote niliyokuwa shuleni Joseph Chaibado alikuwa amemkamata kinguvu kimapenzi classmate wangu. Jambo hili lilikuwa ni la wazi kabisa lakini Father Canute alikuwa kalifumbia macho. Kwa ufupi wanafuniz waliokuwa wanaishi hosteli walikuwa ni preys wa vijana wa bendi chini ya Father Canute Mzuanda.

Jambo la uzinzi wa marehemu Father Canute halikuwa ni siri. Wanafunzi tuliokuwa tunaishi hosteli tulikuwa tunawaona wanawake alikokuwa anawaingiza nyumbani kwake usiku na kuwatoa asubuhi. Dirisha la chumba cha kulala cha Marehemu Father Canute kilikuwa kinatazamana na njia ya kuendea madarasani. Kwa hiyo tulikuwa tunawaona wanawake wakiwa naye chumbani kwake. Inasemekana pia alikuwa anatembea na baahdi ya wasichana waiokuwa wanaishi hosteli. Haya yote hayakuwa siri.

Lakini kwa kutumia jina la Upadre, Marehemu Father Canute alikuwa anayafanya yote haya bila kukosolewa au kushtakiwa kwa sababu watu walikuwa wanaogopa upadre wake!

Niliwahi kumsaidia Padre mwingine wa Kiholanzi, Father Tulleyman kuendeleza kikundi cha sanaa cha watoto sehemu za Msongozi, Morogoro vijijini. Huyu Padre alifukuzwa na serikali baada ya kubainika kwamba alikwa ni mlawiti watoto (paedophile). Nilishikwa na butwaa sana nilipokwenda Msongozi nikakuta kwamba yule Padre alikuwa anawanajisi baadhi ya watoto na vigoli waliokuwa kwenye kikundi chake. Tena la kushangaza zaidi ni kwamba kijiji kizima kilikuwa kinajua kwamba Padre Tulleyman alikuwa paedophile. Alikuja kukamatishwa na Wahindi waliokuwa na studio za kusafishia picha pale Morogoro mjini walipogundua baadhi ya picha alizokuwa anasafisha zilikuwa ni za ngono na watoto na vigoli. Hao Wahindi ndiyo walioipeleka kesi mbele na hatimaye Padre Tulleyman alifukuzwa nchini bila kupelekwa mahakamani kujibu mashitaka ya ulawiti na uharibifu wa watoto.

Kwa ufupi, mimi ia ni victim wa kuogopa joho la upadre. Haya yote niliyoandika najua yatasomwa na watu mbali mbali na baadhi ya wengine watakaoyasoma maoni haya watakuwa wanajua mengi zaidi ya haya niliyoandika. Lakini na wao kama mimi hakuna walilofanya kudhibiti mambo haya kwa sababu ya kuogopa kuhoji joho la upadre.

F MtiMkubwa Tungaraza.

 
At 1:54 AM, Anonymous Anonymous said...

Canute alikuwa na mtoto..nilimuona siku ya mazishi yake au ibada ya mazishi yake katika kanisa la St.Patrick.Ana binti mkubwa kabisa wa kuolewa na kuwa na watoto.

 
At 6:18 AM, Anonymous Anonymous said...

Tusijeshangaa kukuta hata huyo PAPA alikuwa na wake wa pembeni.

 
At 3:50 PM, Anonymous Anonymous said...

Kama unasema alikuwa na mtoto wa kike, ina maana alikuwa na watoto kwa sababu Josefu Chaibado alikuwa mtoto wake pia!

F MtiMkubwa Tungaraza.

 
At 4:10 PM, Anonymous Anonymous said...

achana na huyo jamaa si keshatimua zamani?

 
At 6:33 PM, Anonymous Anonymous said...

Mambo ya marehemu yamepita. Yanatibua tu suala hai la babaMkunde. Hata Mkunde hatumjadili hapa maana hakuomba kuzaliwa na hana kosa. Tuwang'ang'anie wanaopumua wajirekebishe. Huyo Canute keshasevu.

 
At 6:37 PM, Anonymous Anonymous said...

Bila shaka MtiMkubwa na huyo mwenzake wamepata taarifa.

 
At 7:39 PM, Anonymous Anonymous said...

Nililolizungumzia hapa ni ule udhaifu wetu wa kuogopa kuwajadili Mapadre. Mapadre kwa wengi wenye kufikiri kama mimi huwa tunawaona watakatifu na hivyo kuogopa hata kuwazungumzia. Na kwa baadhi ya mapadre hii inakuwa advantage kwao. Na katika ambao walijua kuchukulia advantage hiyo marehemu Father Canute Mzuanda alikuwa mmoja wao.

Jinginewe, tukiwa waoga wa kuirejea historia, historia itakuwa inaturejea. Kwa maoni yangu ni bora kuirejea historia kuliko historia kuturejea.

F MtiMkubwa Tungaraza.

 
At 8:15 PM, Anonymous Anonymous said...

Ndugu Tungaraza wewe una nyeti za marehemu tu! Globu hii ni kwaajili ya kubadili fikira. Tunachanya mbele! Mapadre hatuwaogopi ila tunataka wabadili fikira. Lete mpya na data za uhakika zisizo na fitina kama unazo tuchangie. Marehemu wapumzike kwa amani.

 
At 11:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Hii blog kwa kauli mbiu yake ni "kubadili fikra".Kwa kipindi hiki cha "digital age" maendeleo yamekuwa makubwa kwa sababu habari inaenda haraka na watu wanaipata kwa urahisi. Ndio maana hata watoto wanajua vitu vingi sana kuliko watu wazima(baadhi ya vitu), hii ni sababu ya internet.
Kumbe tutoe habari zitakazosaidia kubadili fikra za wachungaji(Baba Mkunde na Kundi lake) pamoja na watu wote kwa ujumla. Siyo wakati wa kuogopa kwa sasa. "We are born as free individuals". Na Mojawapo ya njia ya kubadili fikra zetu ni kutoa maovu yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika katika kanisa. Watu wajue nini kinaendelea. Hii itasaidia wau kubadili fikra. Ila kitu cha muhimu tutoe habari zilizo za msingi na tuwe na uhakika, siyo kusikia tu kwa mbali au kuona padre kasimama na mama fulani, mbasi ndio tunahalalisha na kuandika kuwa huyo dada/mama ni "demu" wake. Kwa ulimwengu wa sasa ambao siyo kama zamani nadhani hata mapadre wana haki ya kuwa social na kuinteract na watu waume kwa wanawake, wakijua mipaka yao.
Tuendelee na mjadala kama kawaida. Just be free, speak your mind and your belief. As saint John says, "The truth will set you free"(Ukweli utawapeni Uhuru).

 
At 7:10 PM, Anonymous Anonymous said...

Ninashangaa kuona bado kuna mtu anafikiri kwamba mtandao mzima, na mchangiaji ni Karugendo.Huyu ni kumpatia pole. Ana mawazo mafupi. Hawezi kuona majina ya watu wanaochangia wengine wana Blogu zao. Anafikiri Karugendo, ndo anajua mambo ya Kanisa peke yake? Pole Askofu Azimio Byabusha Severine Niwemugizi.

 
At 11:14 PM, Anonymous Anonymous said...

Mmechoka sasa kuleta uhuni na mambo ya marehemu! Ondoa uchafu huu mtandaoni. Watu wanafikiria kupeleka discovery Mars ninyi mnajadili matusi!

 
At 11:46 AM, Anonymous Anonymous said...

Ni mnara wa Babeli

 
At 2:21 PM, Anonymous Anonymous said...

Yesu akwaambia wale watu"Yule asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe".Wakaanza kuondoka mmoja mmoja kuanzia wazee mpaka vijana na kumwacha yule mwanamke pekeyake. Alipotazama akamuuliza wako wapi, akamwambia wameondoka. Akasema nami sikuhukumu, nenda zako ila usifanye dhambi tena. Nadhani hili ndilo jibu kwa pande zote, kwa sakofu na wachangiaji, ila nataka nione kama kweli Roma haitomuhukumu ila itampa uaskofu mkuu na kumwambia asizae tena.

 
At 3:01 PM, Anonymous Anonymous said...

Mimi naona hakuna tatizo kama atakubali kwamba yeye amezaa na amefanya kosa na hatarudia tena, lakini kwa jinsi ninavyoona mtiririko wa habari hii ni kama vile anakana kwamba yeye hajazaa.

Yule mwanamke aliyeokolewa na yesu kutoka katika wananchi wenye hasira kali alikubali kosa, sasa huyu naye inabidi akubali kosa ili asamehewe. Na asirudie kuzini tena achilia mbali kuzaa kama anony wa 2:21pm anavyosema.

 
At 4:04 PM, Anonymous Anonymous said...

We annoy wa 11.14 nadhani unakosea unaposema huu ni uhuni, hapana kama upo kweli mkweli utaona huu si uhuni, ni kweli hakuna sababu ya kuongelea marehemu maana hawarudi lakini basi mada msingi ya humu ina changamoto sana kwa viongozi wetu. Na huyo wa Mnara wa Babeli, nimefurahi sana kwa notion hiyo lakini acha tusubiri pentekoste maana itafuta mambo ya Babeli.Kuhusu mambo haya kwasasa Vatican imemtimua padri mmoja mzee ambaye alifanya makosa akiwa mkuu wa seminari kwa kuwalawiti waseminari. Ni kosa alifanya zamani lakini katimuliwa kwasas kumbe bado tuna imani na hili letu.

 
At 10:37 AM, Anonymous Anonymous said...

Baba Askofu,Tumsifu Yesu Kristo. Bilashaka kashifa hii unaiona. Hata kama wanaoiendesha ni wauni kama ninavyoona baadhi ya wachangiaji wakidai,ufahanu inaweza au tayari inawakwaza waamini. Ina maana Baba Askofu ukiwa unatembea njiani ukakutana na mwendawazimu akakurushia kinyesi utaamua kukaa hivyohivyo kwa madai kuwa utawambia watu wasijari kwa vile ni kazi ya kichaa? Bila shaka utaoga na kubadilisha nguo kabla ya kuendelea na shughuli nyingine. Sasa kwa kashifa hii ungejitokeza na kuitisha mkutano wa wana habari na kuikanusha sambamba na kutoa changamoto ya kupima DNA ili ukajisafishe. Vinginevyo mambo ya kukanusha umejificha na kutumia wapambe feki si ustarabu unaoendana na hadhi ya cheo chako, huo ndio uhuni. Jitokeze, tafuta mtoto, Mkunde,bila shaka unajua alipo, au utasaidiwa kujua alipo, pima DNA maliza utata. Kwanini unapendelea kuwapa faida wahuni waendelee kufanyia biashara zao(uhuni)kwenye Hekalu la Bwana? Kumbuka hata Yesu alishindwa kuwavumilia waliokuwa wanafanyia biashara kwenye Hekalu la Bwana.
MUGANGUZI NKARAGE

 
At 6:44 PM, Anonymous Anonymous said...

wanaochukulia komangano hili kama mzaha na kuwaita wachangiaji kuwa ni wahuni, nadhani nadhani ni watu wenye fikira zisizo na dira, fikira zilizokwenda arijojo na ndio hasa watu wanaoleta uhuni ndani ya mjadala huu unaolenga kukarabati maadili ya kumtukuza Muumba wetu. Iwapo nafsi zao haziwasuti kwamba wanayoyafanya ni uhuni mbona hawataji majina yao tukawajua? Sababu huu wanaodai ni kama ule, katika hadithi za Ukristo, uliopelekea Kristo kutimiza lengo lake la kumkomboa mwanadamu kutoka katika makucha ya shetani. Wale watu walio kuwa wanapiga kelele za Yesu asulubiwe ni wale ambao hivi sasa tungewaita wahuni. Kwahiyo, kwa mtu mwenye fikira zilizo na dira ingebidi atafakari kwamba bila uhuni ule uliopelekea Yesu kusulubiwa wokovu ungetoka wapi? Kwahiyo tusione ajabu wahuni hawa wakileta ukombozi katika hili. Toka shetani.

PRUDENCE KARUGENDO

 
At 7:07 PM, Anonymous Anonymous said...

Wana mtandao tumemwambia Fr. Karugendo akae pembeni kwanza ili aone faida ya kuwa na mtandao. Mandela alipokuwa gerezani mtandao wake ulifanya kazi na sasa ni binadamu anayeheshimika kuliko karibu binadamu wote duniani. Kuwa kama Mandela Privatus.

 
At 5:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Peter Kanyana asante sana kwa uliyayaona hasa juu ya Privatus. Ninachoona Privatus ni mvumilivu sana, kumbuka hata huko nyuma alishamfichia mambo kibao mpaka mwenzake kafikia hapo alipo na akamrudi kwa kutumia siri ya maungamo yake. Bado uanona jinsi PRIVATUS anavyomtunzia heshima Askofu kiasi cha kukubali kubeba msalaba wa matatizo aliyopandikiziwa baada ya maungamo,nasema hivi kwa vile hajayafikisha mbele,ni kweli kimsingi kama ni kweli alivunja siri ya maungamo, basi Severini tangu siku hiyo kisheria(yeye ni mtaalamu zaidi wa sheria hizo)hana hadhi ya kikasisi.Hii haingojei kutangazwa bali inafuata tu pale tendo linapofanyika-latae sentensie anafahamu hili.
Kumbe basi hili la pili ni ushahidi mwingine lakini basi hadhi ya ukasisi kama alitangaza siri ya maungamo hana.Privatus,unaona sasa,unalea matatizo haya na kusababisha mabaya zaidi katika kanisa.

 
At 12:28 PM, Anonymous Anonymous said...

Baba Askofu Severin Niwemugizi, unayaona haya? Kunyamaza maana yake ni kukubali. Wewe umekubali kuzaa na Consolata(Mama Mkunde), umekubali kumjengea nyumba Arusha. Pia umekubali kuwa ulishiriki mauaji ya shemasi mwenzio, mlevi mwenzio na fusika mwenzio mwaka 1983.Sasa baada ya yote haya kweli unajiona unafaa kuendele kukalia kiti cha enzi? Au mpaka ung'olewe kwa mikuki na mapanga?

 
At 7:17 PM, Anonymous Anonymous said...

Madai yote ni ya kweli. Ushahidi upo. Kuna msemo kuwa aliye juu mngoje chini, lakini kwa bahati mbaya huwa hawachuki wakishapanda mti. Dawa ni kuwafuata hukohuko juu na kumkalisha kwenye tawi kavu. Habari zitakazotoka hivi punde katika magazeti baada ya uchunguzi wa kina uliofanywa Arusha yamfikia Rulenge na baadaye atachagua ama kukalia kuti kavu ili aanguke au atelemke polepole kwa usalama. Hawawezi kutukwaza kiimani hivi! Askofu mzinzi na bazazi!

 
At 11:15 PM, Anonymous Anonymous said...

Soma Hapa uone mchungaji alivyofanyiza.

http://www.ippmedia.com/ipp/komesha/2006/06/04/67737.html

Mchungaji amdunga mimba binti wa Mzee wa Kanisa!


2006-06-04 16:24:37
Na Eugen Paul, Iringa

Mchungaji Emmanuel Gayo wa Kanisa la Pentekoste, Kata ya Dabaga kijijini Kidabaga mkoani hapa, amemjaza mimba msichana Donatha Mathayo aliye binti wa mzee mmojawapo wa kanisa lake na kujitetea mbele ya Baraza la Kata yao kuwa tukio hilo limetokana na nguvu za shetani na kwamba wahusika wanapaswa kumsamehe!

Tukio hilo la aina yake limejiri hivi karibuni ambapo Mchungaji Gayo aliye na miaka 43, alibanwa juu ya tuhuma kuwa amemjaza mimba binti wa Mzee Mathayo aliye na miaka 18 na mwishowe, akajikuta akikiri juu ya kufanya tendo hilo linalochukuliwa na waumini wa kanisa lake kuwa ni la zinaa na tena lenye kuambatana na dhambi kubwa mbele za Mungu.

Mwandishi wa habari hii ambaye alitonywa na ’jamaa’ mmoja kungali mapema juu ya uwepo wa shauri hilo, alishuhudia jinsi mchungaji huyo wa kondoo wa bwana ambaye huishi katika kijiji jirani cha Kihansi alivyokuwa mpole na kukiri kosa kabla ya kuomba msamaha.

Na kisa cha ’kubumbuluka’ kwa skendo hilo la aibu kwa mchungaji ambaye tayari ana mke, ni juu ya matunzo ya mtoto wa kike aliyezaliwa na Donatha ambaye sasa ameshatimiza miezi mitatu na ushee.

’’Mchungaji aliponifuata na kunitongoza, hakuwa amenieleza kuwa ana mke... Tena akanihakikishia kuwa yeye hajawahi kukutana na mwanamke yeyote kimwili toka azaliwe na kwamba mimi ndiye wa kwanza na wa pekee kwake.

Kwakuwa hatukai naye kijijini kwetu, nimamuamini. Kumbe alinidanganya,’’ akasema Donatha wakati wa kuelezea sakata hilo la kudai malezi na matunzo ya kichanga chake.

’’Tukawa wapenzi... Nikashika mimba na hapo ikawa kosa. Hakuwahi kunisaidia malezi ya mimba wala mtoto ambapo mpaka sasa, kikubwa alichonifanyia ni kuninunulia kandambili na doti ya khanga.

Naomba sasa awe akinisaidia matunzo,’’ akasema Donatha ambaye wakati akizoza hivyo, baba yake, Mzee Mathayo aliye na heshima kubwa miongoni mwa waumini kutokana na nafasi yake ya kuwa mmojawapo wa Wazee wa Kanisa alikuwepo na pia, mwanamke anayetajwa kuwa ndiye mke halali wa Mchungaji Gayo alikuwepo pia.

Kutokana na maelezo ya binti huyo ambaye baba yake aling’ang’ania kuwa aende akatunzwe na mchungaji kwa kuwa yeye hana uwezo wa kufanya hivyo hivi sasa, hasa baada ya kuwa tayari ana mwenzie, wazee wakamtaka Mchungaji Gayo aeleze kama madai ya msichana Donatha ni ya kweli ama la.

Na kama ndivyo, kwanini akavunja amri za Muumba wao na kugeukia kondoo wa Bwana aliopaswa kuwachunga ili wafanye mambo mema? Ndipo mchungaji alipojibu kuwa madai hayo ya Donatha ni ya kweli na kwamba yote hayo yametokana na ushawishi wa shetani, hivyo akaomba asamehewe.

Hata hivyo, baadaye kukawa na ’kamzozo’ kalikotokana na kung’ang’ania kwa mzee Mathayo kuwa bintiye Donatha achukuliwe ’jumla’ na mzazi mwenzie (mchungaji) ili akalelewe huko na wala si yeye.

Baadaye, bila kujua hatima ya mzozo wa nani akaishi na Donatha na mwanawe, mwandishi ’alimzukia’ Mchungaji Gayo na kujaribu kumdodosa kijanja juu ya sakata hilo ambapo sehemu ya mahojiano ilikuwa hivi:

Mwandishi: Mchungaji... pole sana kwa jambo hili zito.
Mchungaji: Aah! Ni kitu kidogo tu...hawa wameamua kunianzishia mizengwe.
Mwandishi: Lakini Mchungaji... Ni nini hasa kilikufanya ujiingize kwenye matatizo haya wakati kama ni mke tayari unaye na tena anayeonekana kwako kuwa ni mzuri tu...!

Mchungaji: Ah� Ni hivi ndugu yangu. Kila kitu kina mvuto wake. Na hata shetani anao wanaomvutia zaidi katika kutimiza malengo yake... Hicho nd’o kilichotokea.

Shetani amezidisha nguvu zake katika kunipoteza. Ila nimeshastuka na wala sibabaishwi naye sasa.

Mwandishi: Itakuwaje sasa kwa mkeo na familia... Tatizo hili ni kubwa sana kwako, sivyo?

Mchungaji: Hapana... Naamini yote yataisha tu. Haina neno ndugu yangu.
Mwandishi: Bado siamini mchungaji...ilikuwaje ukatembea na binti huyu aliye mtoto wa mzee wa kanisa lako?

Mchungaji: Wewe ni nani? Mbona unaulizia sana mambo haya... Hebu niache tafadhali!

Baada ya hapo, mchungaji Gayo akatimua zake.
Awali, mwandishi alitonywa na shemasi mmoja wa kanisa hilo kuwa kisa cha suala hilo zito kufikishwa kwenye Baraza la Kata kabla ya kufikishwa kortini, ni kitendo cha Mchungaji Gayo kukacha vikao kadhaa kanisani ambavyo viliitishwa kwa ajili hiyo.

Pia ikaelezwa kuwa kutokana na kutoonekana kwa Mchungaji Gayo, ni Wazee wa Kanisa ndio waliokuwa wakifanya kazi ya kuongoza ibada, tena kwa kupokezana.
Mwandishi hakuweza kujua ni kitu gani kilifuatia baada ya Mzee Mathayo kumkabidhi bintiye na mjukuu wake aliyepewa jina la Anna kwa mke wa Mchungaji.

Kwa mujibu wa maelezo ya mzee mmoja wa kanisa hilo ni kwamba inapothibitika kuwa Mchungaji ’amezini’, hatua kadhaa zilizo kali huchukuliwa dhidi yake, mojawapo ikiwa ni ile ya kuondolewa katika wadhifa huo.

* SOURCE: Komesha

 
At 3:07 PM, Anonymous Anonymous said...

Nilikuwa nimeamua kutoingia katika malumbano haya ili kulinda uhusiano wangu mzuri na uongozi wa Kanisa Katoliki. Lakini jambo moja limenishtua, naona kulinyamazia ni dhambi. Hata hivyo nitaficha jina langu, chenye maana ni maoni si jina, hata kama nitaonekana muhuni. Tuhuma za mauaji dhidi ya Askofu Severine Niwemugizi ni kubwa mno kuliko kuzaa mtoto. Mambo ya kupakana matope ni hulka za kibinadamu hata kwenye vitabu vitakatifu kumo. Lakini hili la mauaji halikubaliki. Madamu Askofu Severine keshatuonyesha kwa vitendo na kwa maneno ni kiasi gani anamchukia Pd.Karugendo na tayari yeye Askofu ana sifa ya uuaji, tusingependa ahitimishe chuki zake dhidi ya Karugendo kwa kumpoteza kabisa Karugendo, kumuua. Kama alishaonja dhambi ya mauaji lazima atatamani kuua tena. Kumbuka Mwenye heri J.K.Nyerere alisema kwamba binadamu akionja nyama ya mtu ataendelea kuila tu. Kwahiyo Niwemugizi ujue kwamba uhai wa Pd. Karugendo uko mikononi mwako. Kwanini lakini usimtafute mkayamaliza ili kuwasuta wanaokuona wewe kama mpenda kula nyama za watu? Uamuzi ni wa kwako Baba Askofu, kusuka au kunyoa.

 
At 3:09 PM, Anonymous Anonymous said...

Nilikuwa nimeamua kutoingia katika malumbano haya ili kulinda uhusiano wangu mzuri na uongozi wa Kanisa Katoliki. Lakini jambo moja limenishtua, naona kulinyamazia ni dhambi. Hata hivyo nitaficha jina langu, chenye maana ni maoni si jina, hata kama nitaonekana muhuni. Tuhuma za mauaji dhidi ya Askofu Severine Niwemugizi ni kubwa mno kuliko kuzaa mtoto. Mambo ya kupakana matope ni hulka za kibinadamu hata kwenye vitabu vitakatifu kumo. Lakini hili la mauaji halikubaliki. Madamu Askofu Severine keshatuonyesha kwa vitendo na kwa maneno ni kiasi gani anamchukia Pd.Karugendo na tayari yeye Askofu ana sifa ya uuaji, tusingependa ahitimishe chuki zake dhidi ya Karugendo kwa kumpoteza kabisa Karugendo, kumuua. Kama alishaonja dhambi ya mauaji lazima atatamani kuua tena. Kumbuka Mwenye heri J.K.Nyerere alisema kwamba binadamu akionja nyama ya mtu ataendelea kuila tu. Kwahiyo Niwemugizi ujue kwamba uhai wa Pd. Karugendo uko mikononi mwako. Kwanini lakini usimtafute mkayamaliza ili kuwasuta wanaokuona wewe kama mpenda kula nyama za watu? Uamuzi ni wa kwako Baba Askofu, kusuka au kunyoa.

 
At 10:07 PM, Anonymous Anonymous said...

Jamani, NiweMugizi ni askofu wetu Rulenge. Tunachokiona kwake basi kila mtu ana maoni yake lakini mimi binafsi namuona kama mpenda makuu tu asiye na chembe ninayoitarajia kwa askofu, yaani ubaba. Ndiyo maana naogopa hata kumuita baba askofu. Ningewaomba maaskofu wetu watuonyeshe ubaba na huruma ya kristu tupate matumaini zaidi katika ulimwengu huu. Kashfa hizi za kuzaa au kuua hata shemaji na sasa ukiwa askofu unamtelekeza hata padri zinatusonga roho zetu na kufikiria pengine tumepotoka kuwa waumini wa dini hii. Mbona Mwoleka tulidiriki kumuita baba! Tuonyesheni kristu tafadharini maaskofu, mambo ya dunia yanapita!

 
At 2:33 PM, Anonymous Anonymous said...

Tunachokitaka ni ukweli. Padre Joseph Matumaini, shemeji ya Askofu Severini, ni padre wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Kwa nini Kardinali Pengo asiombwe kupata ukweli huu kupitia kwa padre wake? Kwa vyovyote padre huyo anamjua baba ya mtoto wa dada yake. Akiapishwa na Kardinali si atasema tu? Kama kweli Kanisa lina haja ya kupata ukweli, vidokezo vimeishwa tajwa vingi tu katika blogu hii na katika magazeti. Tunaiomba Roma itutolee aibu hii!

 
At 3:11 PM, Anonymous Anonymous said...

Unadhani hawajuhi? Hawa jamaa ni mabingwa wa kufichiana siri. Nani atamfunga paka kengele? Awe Pengo au Matumaini lao ni moja tuu watamlinda kwa gharama yoyote ile.

 
At 2:44 PM, Anonymous Anonymous said...

Matumaini ni nanii wa Pengo. Yaani kwa kusema wazi ni Mke wa Pengo! Sasa huyu atasema nini? Hana maneno! Alishanyamzishwa. Kumbukumbu ni kwamba siku moja Matumaini, akiwa Fratera, pale Segerea, alimfumania Severine, akimnanii dada yake. Alionywa kufunga mdomo, ili apate upadri na zaidi. Sasa yuko Roma, na Pengo, anamnanii, apate nini?? Hawezi kusema huyo zaidi ya kuuza matako yake!

 
At 5:33 PM, Anonymous Anonymous said...

Una uhakika na haya uliyoandika?acha kupakazia watu, kama kweli unauhakika eleza kwa undani nami nitakujibu kiundani.

 
At 11:24 AM, Anonymous Anonymous said...

Uhakika gani unataka wewe bwana mkubwa? Kwamba Matumaini ni mke wa Pengo. Ni kweli. Unataka nini zaidi ya hapo?

 
At 11:31 AM, Anonymous Anonymous said...

Labda ni kukumbushe. Pengo, ni Rector wa kwanza pale Segerea. Alipanda mbengu mbaya ya Ushoga. Unajua kwamba Buthoke, alifukuzwa pale Segerea, kwa kumkingia kifua Mahunja, ambaye alikuwa akiwafanya mafratera.

Pengo, mwenyewe, alianza zamani mchezo huu mchafu. Mzee Msaikila, alikuwa akimfanya.

Hata hivyo tunatoka nje ya mada. Mimi nilitaka kumjibu yule aliyesema kwamba Matumaini, atuelezee ukweli. Bwege, anaweza kuwa na ukweli gani? mtu, akifanywa kule nyuma , hawezi kuwa na akili sawasawa. Hata hivyo ametunzwa vizuri. Anasoma Roma, na kesho na keshokutwa utashutukia yeye nia Askofu wa sehemu. Atako yanalipa bwana wewe usicheze!

 
At 11:41 AM, Anonymous Anonymous said...

Sasa mnatuchanganya. Mara Mkunde, mara matako. Sasa hii ni nini> Kanisa limejaa haya tu? Mbona hii inaleta mashaka na wasiwasi? Tuamini lipi na kuacha lipi?

Kwa upande mwingine, waswahili wanasema lisemwalo lipo, kama halipo basi litakuwa njiani. Kama liko njiani, basi ni siku za mwisho.

Iwe Mkunde au Matako, ni kwamba jibu viongozi wetu wa kanisa, si viongozi waliokomaa kiroho, ni viongozi wanaojitafuta. Kwa njia hii mengi yatatokea. Tusubiri tukiomba!

 
At 11:47 AM, Anonymous Anonymous said...

Sikuwachanganya. Huo ndo ukweli. Yanayotendeka kanisani ni ya kushangaza sana.

Ni bora hawa mapadri wazae watoto. Na Maaskofu wazae kama alivyo Mkunde. Lakini watoto watunzwe! Ambalo ni la ushetani ni hili la Matumaini na Pengo. Hili la kufanyana kinyume na maumbile. Hili ni chafu. Ni aibu kubwa viongozi wetu kuendeleza tabia kama hizi. Likiwekwa wazi na kukemewa, labda nitakoma.

Acheni mambo mabaya nyinyi watu wa Mungu. Acheni kufanyana kinyume na maumbile. Wasichana ni wengi sana dunia hii na wengi wao hawana wa kuwatuliza, wafuateni hao na kuacha kufanya nyuma.

 
At 2:02 PM, Anonymous Anonymous said...

Sasa hiki ni kiama, jamani tutamnwamini nani tena?hakika USEJA umewapotosha na kuwapeleka hapo, nadhani waumini tuwasaidie kwa kuandamana ubalozi wa Vatican-Tanazania ili waondoe sheria ya useja kwa mapadri wetu waoe.Wenyewe wanaona shida ila wanaogopa nani aanzishe hiyo mada dhidi ya USEJA.Tupange maandamano ya kiataifa kuwaombea ruhusa ama tuwasaidie kwa kunyamaza tukiwaona wakichukua wanawake ili WASIFANYANE!.Mpo hapo wenzangu?

 
At 12:22 PM, Anonymous Anonymous said...

tatizo si useja. Ni lazima kuangalia kwa makini. Hata watu walio kwenye ndoa wana matatizo kama haya. Tatizo ni kubwa. Ni lazima kulichunguza. Walio kwenye ndoa wanazaa nje ya ndoa, na wakati mwingine wanafanyana wao kwa wao.

Lakini tusipoteze mada ya Baba Mkunde. Hivi, nyote mnashindwa kwenda Maji ya Chai, na kutupatia ukweli wa mambo. Mtoto, akipatikana, ndo itakomesha ubishi na Askofu Baba Mkunde, kuwajibiswa. Fanya hima!

 
At 12:26 PM, Anonymous Anonymous said...

Jmani Dar kuna nini si hata yule padri aliyesingiziwa kulawiti mtoto pale Kibaha si alitoka Dar?kesi yake si imeisha ama bado!Nadhani sasa tutaanza kuwaangalia hawa watu kwa macho makali sasa ikiwa walilea hayo unategemea nini kwa waseminari wao?Na huyo Mahunja ni askofu wa wapi ama mlei?hakika tumekwisha, afadhali la MKUNDE kuliko haya.

 
At 12:30 PM, Anonymous Anonymous said...

Watu wa ndoa wanafanya hayo baada ya kuona haopn walowafungisha ndoa wanafanya ufilauni hata na wake zao. Unategemea mti wa miba uzae zabibu, kama wachungaji wanaosisitiza maadili wameoza hivyo uanategemea aliyefunga ndoa abaki akiamini uaminifu unaotangazwa na hao unaowatetea.Tatizo NGONO imekithiri kanisani hivyo matunda yake ni kukithiri kwa NGONO kwa walei.Ebu kama wewe ni mzazi jaribu kuwa mtu wa NGONO lafu waeleze reactions zao.

 
At 2:13 PM, Anonymous Anonymous said...

Jamani naona sasa uadilifu unatutupa mkono. Tujaribu kurudi kwenye mstari. Vinginevyotutaonekana sote vichaa, na kinachoongelewa kitaonekana upuuzi mtupu.

 
At 6:58 PM, Anonymous Anonymous said...

Prudence, ni uadilifu gani uanataka?mbona watu bado wapo katika kulisaidia kanisa kuachana na mabaya haya, sasa wewe unataka watu wasifichue hayo.Vipi safari ya Arusha ya waandishi walienda? mbona hatujapata taarifa ingawa katika mjadala ahadi ilitolewa!

 
At 5:50 PM, Anonymous Anonymous said...

Safari ya Arusha, si ya Prudence, peke yake. Ni yetu sote na wewe ukiwemo. Hakuna haraka kwenda Arusha, mtoto yupo na akifanywa lolote, tutapiga kelele dunia nzima. Kulikuwa na mipango ya kumficha, lakini ilichelewa!

Kama kanisa litafanya makosa, na kumtangaza Severine, Askofu Mkuu wa Tabora, ndo siku yenyewe mtaona viroja, mtoto na mama yake mbele ya kadamnasi. Tusbiri tu, hakuna mjinga! Severine, akiwaza hivyo, amepotea njia!

 
At 1:09 PM, Anonymous Anonymous said...

Kamazima , asante, lakinin kwa taarifa yako kwasasa wapo hapa DSM -Makao makuu yao-TEC KURASINI.Hili tunaloandika walilijadili katika kikao chao na wameahidi kuwafuatilia wote na hasa mbaya wao.Hawakulipuuzia, wamelisema kwa kirefu na tusubiri tuone hayo ambayo wamelenga, ila tu Tabora ni ya Severini inavyoelekea, maana wameona kama hizi ni kelele za mlango ambazo hazimazuii mtu kulala.Maskini ajenda yetu!

 
At 1:13 PM, Anonymous Anonymous said...

Hata mimi nimezinasa za hapo TEC-Kurasini. Kuingiza agenda ya Pengo na Kilaini imetibua ajenda msingi, kama ingeachwa ile ile ya mwanzo ilikuwa na uzito lakini sasa wameonakuwa huu ni upuzi na kitu kisicho na ukweli ni makelele, hivyo mnafikiri wanaweza kujadili kitu ambacho kinamgusa mkuu wa kanisa nchini! thubutu, mmeshakosea kuingiza ajenda nyingine.

 
At 3:47 PM, Anonymous Anonymous said...

Hapana, haiwezekani akawa Severine. Tutamleta mtoto hadi Tabora. Si kelele tupu, hapana! Na kuingiza Pengo na Kilaini, na wengine watakao ingia, ni vigumu kuzuia, Blogu , inasomwa na wengi na wengi kwa woga, wanaona hii ndo njia peke yake, majina yao hayajulikani. Severine? Haiwezekani! Kwani kuwajadili wakuu wa kanisa ni nini? Mbona Ualya, wanajadiliwa? Wasifanye mchezo. Wewe uko TEC? Wanamtafuta mbaya gani? Mbona wabaya wao ni wengi? Hivi ni mmoja tu? Haiwezekani. Bado, hawajafanya majadiliano ya kutosha. Bado wataendelea kujadili na kujadili.
Kamazima.

 
At 4:19 PM, Anonymous Anonymous said...

Uadilifu ninaouongelea ni wa kutumia lugha ya kiungwana kuwasilisha hoja zetu. Lugha zilizotumika hapo juu ni za kiuni mno. Haziwezi kumshawishi mgwana yeyote akubaliane na mtoa hoja hata kama ukweli uko wazi namna gani.Au ndio njia kupotosha mjadala? Mimi nasema Baba Askofu Niwemugizi kama kweli alizaa na huyo Consolatha ni vema kabisa akaweka historia mpya ndani ya Kanisa Katoliki kwa kumchukua mkewe akae naye Bishop's House, kama haruhusiwi kufunga naye ndoa,kwani kuna ubaya gani? Mbona Baba Askofu Mshemba anakaa na familia yake bila kupoteza hadhi yake?

 
At 4:46 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu Mshemba na maaskofu wengine wa kanisa Lutheran, wanakaa na wake zao, maana waliamua kuachana na unafiki. Waliamua kuoa na kuishi maisha ya uwazi. Hawa waliamua kuendelea na unafiki. Ndo maana mambo wanayoyafanya ni ya kushutua sana na kuleta wasi wasi. Wanabaki na unafiki wao. Wanabaki kuwa wanafiki.
Kamazima.

 
At 11:12 AM, Anonymous Anonymous said...

Ndugu zangu wapendwa, mbona kimya? Maaskofu wa Kanisa Katoliki, wamemaliza mkutano wao wa mwaka kule Kurasini Dar. Blogu hii, ilikuwa ni kati ya agenda zao kuu! Wamesema watapambana hadi kuwagundua na kuwachukulia hatua wote wanaowapaka matope! Ina maana sasa Maaskofu wanataka kupambana na Blogu! Eti watahakikisha wanaingilia mawasiliano ya Blogu! Kichekesho! Lakini wanaweza kufuata mbinu za Bush, za kuingilia uhuru wa mawasilano. Hivyo ni lazima kukaa chonjo!

Askofu Ruwaichi Thadeus, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti au Rais wa Baraza la Maaskofu. Huyu hana Kashifa, hata kama zipo basi zimefunikwa. Hawa wengine wenye mashifa nyingi ndo wana mpango wa kupambana na Blogu.

Bahati mbaya ule mjadala wetu wa Askofu Severine NiweMugizi, uliingiliwa na kirusi cha habari za Kardinali Pengo. Inaelekea hiyo ilipotosha mwelekeo wa hoja. Sasa ukweli unaonekana ni kuwapaka waheshimiwa matope. Ili kuweka mjadala safi, basi mbinu za kumsaka mtoto Mkunde, zimeanza kwa kasi mpya. Tutasaidiwa na watu wengi na wengine wa Kanisani.

Habari zilizopatikana kutoka kwenye chumba cha mkutano wa maaskofu ni kwamba wametengeneza orodha ya majina wanayofikiria kwamba ni ya wanablogu. Tumesikia jina la Padri Karugendo ndo limewekwa la kwanza. Hivyo tuna kazi ya kuyalinda maisha ya Padri Karugendo. Na kuanzia sasa tutatangaza kwamba lolote litakalotokea kwa Karugendo, kanisa linahusika na hasa Askofu wake Severine NiweMugizi. Tunaomba tangazo hili lisambae kila kona ya dunia.Kanisa linajulikana kwa mauaji katika historia yake, hatuwezi kushangaa, likitaka kuyamaliza maisha ya Karugendo. Tutamlinda kwa kila njia! Tunaomba watu wote wenye mapenzi mema kulaani kitendo cha kutaka kuyaangamiza maisha ya Padri Karugendo. Wale wote wanaoandika, mtakubali kwamba huyu padri anasingiziwa, yeye anaandika katika magazeti na kwa uwazi, asiingizwe kwenye mawasiliano yetu haya.

 
At 11:16 AM, Anonymous Anonymous said...

Habari zimefika. Zitasambazwa na kutangazwa. Kumbe kuna mipango mibaya? Mbona viongozi wetu wanatutishia? Tutasaidia kutangaza kwamba Maisha Ya padri Kalugendo, yako hatarini. Tutaomba Serikali impatie mlizi. Kumbe watu hawa washenzi kabisa. Hawataki kusikia ukweli.
Kamazima.

 
At 11:19 AM, Anonymous Anonymous said...

Kumbukeni kifo cha Shemasi Onesmo. Kumbe Askofu Severine, anaweza kuwa shetani mkubwa. Kama aliweza kupanga mauaji ya shemasi, atashindwa vipi kupanga mauaji ya Kalugendo? Ni hatari!
Mboje.

 
At 1:19 PM, Anonymous Anonymous said...

Mwandishi Okema, amepigwa risasi Dar! Inatisha! Hivyo angalia na padri wetu asipigwe risasi na watu wa kanisa! Tuombe, ili shetani huyu apite mbali.
Kanango.

 
At 1:31 PM, Anonymous Anonymous said...

Kanango, unasema ukweli! Mipango ya siri ya kuyamaliza maisha ya Padri Karugendo, imegundulika. MIpango hiyo inaendeshwa na Maaskofu watatu, wakiongozwa na Askofu Severine NiweMungizi. Kashifa zilizofumuka katika Blogu hii ni za kweli na zimewagusa wakubwa. Wote wanaamini habari hizi zinaenezwa na Karugendo, hivyo dawa pekee ni kuyatoa maisha yake. Mpango huu unaendeshwa kwa siri kubwa na ni wa hatari maana kuna watu wengine wako kwenye orodha hii. Tutamlinda vipi Karugendo? Ni bora apate habari hizi ili ajilinde na Mashetani hawa - wauaji wakubwa.
Mussa.

 
At 2:36 PM, Anonymous Anonymous said...

We Mboje usiwe na uongo, una hakika Severine alihusika na kifo cha huyo shemasi? Funga mdomo wako unatapika ovyo.

 
At 8:04 PM, Anonymous Anonymous said...

Ninatapika uongo au ukweli? Unajua ukweli unauma sana. Kwani ni huyo tu? Ninasikia alisababisha na kifo cha padri wake hivi karibuni.Watu wanasema hivyo! Askofu wenu habebeki! Hongera, nasikia ndiye Askofu Mkuu wa Tabora? Rulenge watapumua na Tabora, watabeba mzigo wa mavi!
Mboje.

 
At 8:31 PM, Anonymous Anonymous said...

yPamoja na haya ya mzee Nimwemugizi,basi huko Zanzibar kuna kasheshe ya mapadre kufuga watawa kama wake zao. Padre mmoja kutoka jimbo la Same anayefanya kazi jimbo hilo amemfugwa katibu wake Sista Telesephora wa Shirika la mabinti wa usambara Tanga aliyemaliza masomo huko Roma Mwaka Jana wamekuwa kama Mume na Mke. Mambo yao ya ngono wanaenda kuyafanyia kwenye mwambao wa bahari hadharani bila aibu. Mara wakati mwengine mambo yao ya ngono wanayafanyia kwenye nyumba ya mapadre katika parokia ya Mpendae huko Zanzibar. Jee huyu padre na huyu sista si nafuu waozeshwe na Askofu wa jimbo hilo? Tena mpya zaidi katika Jimbo hilo la Zanzibar siku za karibuni Padre Vicent Riziki Shio alikamatwa na Sister Mary wa (Evangilizing Sisiters of Mary) wakinywa Pombe bar na wakati huo huo walikwa wanaandaliwa na wenyeji wao katika bar hiyo iliyo mwambao wa bahari chumba kwa ajili ya kufanyia ngono. Jee Askofu wa jimbo hilo haoni mambo haya? Hebu changieni mawazo wana blog.

 
At 9:39 PM, Anonymous Anonymous said...

Doooooo!!!! Jamani Huyo Sista Telesehora hata Zanzibar anathubutu kufanya mambo hayo???? Basi ndugu yangu tulipokuwa nae hapo Roma aliwachanganya mapadre wa kiafrika ile mbaya kwa kuuza uchi hadharani kwa ajili ya kupata hizo Euros. Kwa wale mapadre ambao waliokuwa na Ukame wa wanawake walikuwa wakijificha hapo kimya kimya. Mmmmmmmm Lakini wenzangu waliumia maana waliobahatika kulala nae wanasema kwamba yule ni mwezi wa fedha ile Mbaya.

Lakini na huyo padre Mathew Chikira wa Same ameenda kujificha hapo Zanzibar Kwa ajili ya Telesephora? Makubwa haya!!!!!!! Kwa kweli kisiwani kuna mambo.... Basi mzee Chikira nafuu Mzee Koda akufungue ndoa, pia vile vile angalia huyo Sista Telesephora ni gari bovu. Yaliyompata mwandishi wa Gardian Deo Mushi akiwa hapo Roma yanaweza kukupata na wewe

Achana na hilo gari bovu bwana!!!!!! hilo ni balanketi la wazee tangu zamani. Sasa Chikira unakula sahani moja na Mzee wako Koda????? Unajua uhusiano wa huyo sista na mzee Koda. Au unaenda umefunga macho tuuu. Angalia kijana Utajiharibia heshima yako kwa ajili ya Uchi. Naomba wanablog tumsaidie huyu Sista na huyo padre wamepotoka kimaadili.

Kwanza hauruhusiwi kufanya ngono,Wewe ni padre bwana, kiongozi wa kiroho chunga Kondoo wa Mungu.

 
At 11:38 PM, Anonymous Anonymous said...

Nishasema kuwa upadri kwa maana ya Useja umewashinda. Huyu Vicent Riziki ni padri siku hizi mbona alikuwa mwalimu wa shule ya msingi nilikuwa naye majeshi waklati ule na alikuwa mpole sana!ama ni mwingine?Vipi yaliyompata Sixtus, si afadhali hao jamani ama vipi?

 
At 3:48 AM, Anonymous Anonymous said...

Riziki huyu ni wa Zanzibar Mzee ambaye makali yake ni hatari mno, anajua kufanya mambo yake wazi bila hata aibu. Siku hizi kapata gari mpya huku Zanzibar na ametamka wazi kwamba wakati umefika wa kumuoa sista Mary Ndeshinia wa Kilacha. Kigezo alichoweka ni kwamba Jimbo hilo limeruhusu kupokea mapadre waliooa. Kwani hujui Damas mfoi Yule wa Holy Ghost aliyekuwa ameoa siku hizi amepokelewa na mzee Shao kule Zanzibar? Mzee Karugendo fanya hima ujiunge na Jimbo hilo, Achana na mzee Nimwemugizi. Anakusumbua akili huyo.

 
At 5:24 AM, Anonymous Anonymous said...

Mamaaaaaa Yaani Damas Mfoi amerudia Upadre baada ya kuoa na kuzaa mtoto taahiri na yule mwanamke mchagga. Pia si alilikana kanisa katoliki na kujiunga na walokole alikofungia ndao. Basi mzee Karugendo ni nafuu mapadre wote waliooa wahamie Zanzibar maana huko hakuna tena sheria za kanisa. Laaaaaa Damas mfoi amehamia Zanzibar baada ya ile mito ya mapesa kukauka.

 
At 1:53 AM, Anonymous Anonymous said...

I think this is a foolish website and is maintained by people with mediocre mind whose brain size is not large the isze of a rat and their thinking capacity is far below human comprhension

 
At 2:41 AM, Anonymous Anonymous said...

Asante sana kwa waliochangia kuhusu hali halisi inayoendelea huko kwenye visiwa vya Marashi ya Karafuu. Yaani Mapadre na Watawa kufugana kama mme na mke. Ninavyomfahamu sista Telesephora alipokuwa anafanya kazi Baraza la maaskofu alianza ujinga huo wa kuwa mke wa aliyekuwa katibu wa Baraza la maaskofu wakati huo Padre mmoja wa jimbo la Bukoba. Mama yake Mkuu alipogundua hayo aliamua kumficha hapo Zanzibar ili kuficha aibu ya shirika. Naye Askofu wa Zanzibar kwa huruma akampeleka sista Telesephora Roma kwa masomo ya juu. Kama tulivyosikia kwa mwana blog aliyetangulia chumba alichokuwa anakaa hapo Roma alikifanya danguro!Kwa kweli kanisa limekwisha, mimi ningeshauri Mambo yafuatayo kuhusu padre Chikira na sista Telesephora.
Kwanza Padre Chikira aondolewe daraja la upadre kwa sababu hivi sasa Useja alioahidi siku alipopata Upadre umemshinda. Pili naye Sista Telesephora aondolewa nadhiri zake za kitawa kwa sababu ile ahadi ya Ubikira ameshaivunja mara nyingi mno na watu wa aina mbali mbali kuanzia na walei na hata wenye daraja takatifu. Tatu baada ya hapo Waozeshwe kanisani kama mume na mke. Kuliko waendelee kisiri siri kulichafua kanisa takatifu la Mungu. Mwisho sasa hawa siwaiti tena padre Mathew Chikira au Sista Telesephora. Bali ni Baba Methew Chikira na Mama Telesephora walioishiwa maadili kwani watu wa ndoa wana heshima zao za kuitwa Baba na Mama. Cha muhimu wanapaswa kufahamu kwamba wanatakiwa kumtumikia aidha Mungu au Shetani na wala sio kuchanganya vyote viwili. Hata maandiko matakatifu yanasema huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Tafadhali Methew Chikira na Telesephora msichafue Patakatifu pa patakatifu. Huko mnakojificha mkifanyia ngono kama padre na sista iko siku mtafumaniwa kama Sixtus na mtaanikwa kwa Watanzania wote kama Sixtus alivyoanikwa. Sasaivi Mtandao unawaanika ulimwenguni mwote kwa wanamtandao...Mkome kwa kuwa hamna adabu, tena mmeoza... Mkiwa wajanja Tubuni na kufuata Daraja takatifu na nathiri takatifu mlizoweka.

 
At 3:55 AM, Anonymous Anonymous said...

Eeeeeee Kwa kweli pole sana classmate wangu Chikira Kwa haya waliyokuanika. Lakini Mzee kama ulitembea na Shangingi Telesephora ni sawa na mtu aliyelamba kidonda chenye usaha. Hivi hujui wakubwa wengi wamemkimbia baada ya kuona ya kwamba ameoza. Isipokuwa Baba yako Koda bado analamba lamba hapo. Hiyo tunakuonya. Kwa kutembea na Telesephora ni sawa sawa na mtoto wa miaka saba aliyewekwa ndani na bibi lizee.

 
At 1:32 PM, Anonymous Anonymous said...

Huyo aliyetukana kwa kimombo, mnafahamu? Ameguswa, maana yeye wakati wote aliamini Karugendo, ndo anaendesha mambo yote. Sasa kasoma na ya Koda. Makubwa haya. Kwa njia hii tunaweza kulisafisha kanisa. Endelea kuyatoa, hadi watu waanze kujirudi.

 
At 4:52 PM, Anonymous Anonymous said...

Aliyetukana kwa kimombo ni mjinga wa mwisho. Ni wale ambao wanafanya madhambi ya ajabu kwenye kanisa na wanataka wayafiche kwa ujanja kwa kulitumia kanisa. Tafadhali, tafadhali msimguse ndugu yetu Karugendo kwani kwa muda mwingi amekuwa anateswa mno na wala hakuna hata mtu anayemsaidia katika mateso yake. Wakati ni huu wa kupambana na wale wote wanaoendesha ngono katika kanisa la Mungu.

 
At 1:51 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu Shayo, anawapokea hao kwa vile na yeye yuko hivyo. Yeye ni moto wa kuotea mbali. Ana watoto na mwanamke! Kama unataka undani, watafute mapadri wa Zanzibar, wakupatie habari. Useja umeshindikana - ni bora Maaskofu wakubali yaishe!

 
At 2:28 PM, Anonymous Anonymous said...

Aliyetukana blogu hii ni yule mwana Sodoma na Gomola aliyekaangwa miaka 35 au pacha wake, nina maana ya pacha kivitendo. Make Kanisa sasa limegeuzwa Sodoma na Gomola, Kanisa Katoliki. Yule Sijui Sixitus alikuwa bado mwanafunzi au tuseme mgeni katika mitaa ya Sodoma na Gomola, ndiyo maana akabambwa kibwege. Wale maharuhatan wa Sodoma na Gomola hawawezi kufumaniwa kitoto namna hile, bado wapo wanaendeleza Usodoma. Yule Sixitus angekuwa dereva tungemwita learner. Namjue hawa makabaira wa Usodoma hawawezi kuipenda blogu hii inayoyaanika mambo yao. Inaingili fani za watu!Ndiyo maana mwanasodoma mmoja ameamua kuitolea uvivu na kuchalaza risasi zake za kizungu nilizoona zimedondoka hapo juu.Fani ya watu ile bwana.

 
At 2:34 PM, Anonymous Anonymous said...

Aliyetukana blogu hii ni yule mwana Sodoma na Gomola aliyekaangwa miaka 35 au pacha wake, nina maana ya pacha kivitendo. Make Kanisa sasa limegeuzwa Sodoma na Gomola, Kanisa Katoliki. Yule Sijui Sixitus alikuwa bado mwanafunzi au tuseme mgeni katika mitaa ya Sodoma na Gomola, ndiyo maana akabambwa kibwege. Wale maharuhatan wa Sodoma na Gomola hawawezi kufumaniwa kitoto namna hile, bado wapo wanaendeleza Usodoma. Yule Sixitus angekuwa dereva tungemwita learner. Namjue hawa makabaira wa Usodoma hawawezi kuipenda blogu hii inayoyaanika mambo yao. Inaingili fani za watu!Ndiyo maana mwanasodoma mmoja ameamua kuitolea uvivu na kuchalaza risasi zake za kizungu nilizoona zimedondoka hapo juu.Fani ya watu ile bwana.

 
At 12:40 AM, Anonymous Anonymous said...

Asante sana kwa aliyetupa maelezo ya Padre Damas Mfoi, Mimi nimeguswa sana na habari hii kwani nilikuwa mseminari wa Holy Ghost lakini nilipokuwa Niviciate kule Magamba Tanga Padre Damas alinifukuza kwa mashaka aliyokuwa nayo kwamba nilizini na sista aliyekuwa rafiki yake, kitu ambacho Hakikuwa kweli.

Cha Kusikitisha zaidi ni kwamba wakati huo kuna mwenzangu aliyefukuzwa na padre Damas Mfoi kwa kisingizio hicho hicho cha kuzini na sista kitu ambacho haikuwa ni kweli. Matokeo yake yule aliyefukuzwa na huyu padre ilibidi ajitie kitanzi kwa sababu ya mambo aliyosingiziwa na padre Damas Mfoi.

Pamoja na Makosa ya kukana Kanisa katoliki na Kuoa mke, padre mfoi inaonekana kwamba alishashiriki katika mauaji ya mseminari. Hivi kweli aliyempokea aliangalia mambao haya?????

Wakati Damas Mfoi alipofanya makosa haya yote Mkuu wa shirika alikuwa ni Askofu Shao. Sasa imekuwaje kumpokea huyu mzinifu, muuaji na aliyeikana imani ya kanisa katoliki????Hakuna kanisa la Zanzibar na Kanisa la Holy Ghost, Kanisa ni moja, takatifu katoliki la kitume. Kumpokea Damas Mfoi kwa Sababu ndugu yake John Mfoi yuko huko Zanzibar ni sawa sawa na kumuingiza nguruwe katika shamba la mahindi. Mimi niliyepata kipigo cha Damas mfoi nikiwa mseminari ni lazima nitayatoboa haya mambo yote. Hivi sasa ninawasiliana na rafiki yangu huko Zenji, ambaye nasikia juzi juzi ameukata anipatie habari zaidi za Damas Mfoi anavyoendelea kuwazengea masista. Mfoi tunamfahamu bwanaaaaa ni mzinifu wa hali ya juu tena anawapenda sana makahaba wale ambao mtume Muhamed Sala laaa ale wa salam amewakataza katika kitabu kitakatifu.

 
At 12:56 AM, Anonymous Anonymous said...

Ma Mia.. Alaaaa Wak baru. Hivi sasa tupo kwenye jitihada kali za kuzikusanya e-mail zote za wakristu wote wa Zanzibar waliosoma ilikusudu waweze kuelewa mambo haya kwa kusoma blog.

Tena wakati huo huo watakapokuwa wakihubiriwa na Damas Mfoi wajue ya kwamba anayoyahubiri hayaishi bali ni nafuu Shekhe awahubirie kwani atakuwa na maana zaidi.Tangu Mwanzo yalishamshinda bwana kwani hujuiiiiiiiiiii. Mwewe yule.

Lakini John Mfoi ulipomshauri Mzee Shao ampokea kaka yako ulifikiri kweli????????? Au lengo lako lilikuwa kaka yako aje tena aibe mapesa ya kanisa kama alivyoiba akijenga magamba kule Tanga tulipokuwa nae.

Damas tunajua bwana mapesa aliyoiba amejenga kule Moshi na Dar na Magari anayo Kibao. Huyo fisi bwana.

 
At 1:12 AM, Anonymous Anonymous said...

Lakini Jamani Baba Cardinali alisaidia sana wakati alipotoa order kwa Macha aliyekuwa mkuu wa shirika wakati huo kwamba mara moja Damas Mfoi arudi kutoka Afrika ya kusini na kuachishwa Upadre. Tena makao makuu ya shirika kule Roma yakamwambia Damas Mfoi upadre hakuna, ila angeweza akajibanza kwao kama(Holy Ghost Associate)

Sasa huyo amepokeajeeeeeeeeee???????? Wanajuana hao bwana kwani hujui hao walishafanya kazi pamoja? Siri Zao watafichiana hapo Zanzibar kama walivyofichiana kule Holy Ghost. Mapadre wa Zanzibar mlie tuu, kwani mnajua nini nyie!!! Hata hayo yaliyo nje ya nchi huko ulaya na marekani hatuyasikii Kabisaaaaa bado yapo katika kisiwa tuu pamoja na kwamba mzee Shao kayatoa nje. Njia pekee ni kuyapeleka majimbo mengine hapa bara ili kusudi yaweze kuhoji mambo na kuacha kushiriki kwenye Uchafu.

 
At 3:03 PM, Anonymous Anonymous said...

NATOA COMMENT ZANGU KUWA HUYU ASKOFU AMEFANYA HILI TENDO SIKU NYINGI SANA NA HAPO ALIPO ALISHAJUTA KWA MUNGU NA NDIO MAANA AKAAMUA AMJENGEE HUYO MAMA MAHALI AJISETIRI NA MWANAE.HUYO ANAYETAFUTA KUMCHAFULIA JINA SASA HIVI YEYE ANA USAFI GANI WA MOYO WAKE?PILI KAMA NI HUYO MWAMAUME ALIYE MUOA HUYO DADA BASI HUO NI WIVU NA ASHUKURU ANA MAHALI PA KUJISETIRI. ILA HUYO MAMA ANAHITAHI KUTUBU SANA NA KUMWOMBA MUNGU AMSAMEHE KWA KOSA ALILOTENDA LISIJE LIKARUSIA NA AKAMFANYA HUYO ASKOFU KUPATA KUVUNJA TENA AMRI YA MUNGU MAANA ALISHAKULA KIAPO CHA UTII KWA MWENYEZI MUNGU.

 
At 2:23 PM, Anonymous Anonymous said...

si hilo tu kuhusu mkunde je umefuatilia kwa undani baadhi ya wadada wa huko rulenge aliowaajir, akina Ester na wenzake, mbona hamlioni hilo?

 
At 1:37 PM, Anonymous Anonymous said...

Ninawashangaa sana, Severine - Askofu Severine NiweMugizi,ana wanawake wengi tu.Sasa hivi yuko Ulaya.Atapitia Austria kwa Sister.... ambaye ni kama mke wake.Amemficha ulaya, ili awe anamtafuna kiulaini. Ya Severine ni mengi!

Mutabazi.

 
At 12:54 AM, Anonymous Anonymous said...

Administrator wa blog hii unahitaji kuwa unaongoza mjadala. Kama watu wanatoka nje ya mada warudishe. Kama watu wanatumia lugha mbaya pia warudishe. Blog hii hata kama ina nia nzuri, kama namna yake ya kuchangia ni ya kihuni itadharauliwa. Mjadala kuhusu Askofu umekuwa hauna mwelekeo. Na watu wamesema wameishiwa na hakuna ambalo kwa kweli limepatikana la kujenga. Jifunze kwenye blog nyingine ambapo wanakuwa na sheria za blog.

Kama hadithi za mitaani wote wanaweza, hata wahuni. Lakini kama nia ni kujenga Administrator simamia vema.

Angalia wenzako wa Jambotanzania.net jinsi wanavyolinda heshima ya blog zao.

Sheria Na Kanuni Za Jambo Forum

--------------------------------------------------------------------------------

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

3 - Spam:
Purposely spamming a message board with senseless, vacuous, or empty messages to gain a higher post count, or just to annoy others is HIGHLY frowned upon! Commercial spamming and advertising are just as unwelcome unless it is done in the special designed area. Promoting your site is only allowed with permission of the site owners. Bumping old threads is allowed in the request forums, but needless bumps in other forums will be classed as spam.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.

5 - Piracy, and Warez:
We do not mind discussions about piracy or warez, as long as they are just that...discussions. Linking or giving information about any site that distributes illegal software, or warez, seeking help to circumvent any copyright laws, or encouraging software or media piracy is grounds for an immediate ban.

6 - Impersonating Other Users / Accessing Another User Account:
You may not impersonate another board member or create an account specifically for the purpose of provoking other users. Also, accessing or using someone else's account or attempting to access another poster's account is strictly prohibited. You will be banned.

7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all.

8 - Circumventing a Ban:
If you log onto the forums and receive a message that you have been banned, please submit an unban request and wait for a staff member to get in touch with you. You may NOT re register under a new name if the software lets you. But, if you try to sign up again and we caught you, then it will become a permanent IP Ban. We do NOT send out notices that you have been banned.

9 - Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 50 year olds. Nudity and porn is prohibited for obvious reasons.

10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 64x64 pixels or less. No adult, drug related or racist content please. After 5 posts you will be allowed to have an avatar.

11 - Questionable Content:
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.

 
At 1:09 AM, Anonymous Anonymous said...

Administrator wa blog hii unahitaji kuwa unaongoza mjadala. Kama watu wanatoka nje ya mada warudishe. Kama watu wanatumia lugha mbaya pia warudishe. Blog hii hata kama ina nia nzuri, kama namna yake ya kuchangia ni ya kihuni itadharauliwa. Mjadala kuhusu Askofu umekuwa hauna mwelekeo. Na watu wamesema wameishiwa na hakuna ambalo kwa kweli limepatikana la kujenga. Jifunze kwenye blog nyingine ambapo wanakuwa na sheria za blog.

Kama hadithi za mitaani wote wanaweza, hata wahuni. Lakini kama nia ni kujenga Administrator simamia vema.

Angalia wenzako wa Jambotanzania.net jinsi wanavyolinda heshima ya blog zao.

Sheria Na Kanuni Za Jambo Forum

--------------------------------------------------------------------------------

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

3 - Spam:
Purposely spamming a message board with senseless, vacuous, or empty messages to gain a higher post count, or just to annoy others is HIGHLY frowned upon! Commercial spamming and advertising are just as unwelcome unless it is done in the special designed area. Promoting your site is only allowed with permission of the site owners. Bumping old threads is allowed in the request forums, but needless bumps in other forums will be classed as spam.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.

5 - Piracy, and Warez:
We do not mind discussions about piracy or warez, as long as they are just that...discussions. Linking or giving information about any site that distributes illegal software, or warez, seeking help to circumvent any copyright laws, or encouraging software or media piracy is grounds for an immediate ban.

6 - Impersonating Other Users / Accessing Another User Account:
You may not impersonate another board member or create an account specifically for the purpose of provoking other users. Also, accessing or using someone else's account or attempting to access another poster's account is strictly prohibited. You will be banned.

7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all.

8 - Circumventing a Ban:
If you log onto the forums and receive a message that you have been banned, please submit an unban request and wait for a staff member to get in touch with you. You may NOT re register under a new name if the software lets you. But, if you try to sign up again and we caught you, then it will become a permanent IP Ban. We do NOT send out notices that you have been banned.

9 - Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 50 year olds. Nudity and porn is prohibited for obvious reasons.

10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 64x64 pixels or less. No adult, drug related or racist content please. After 5 posts you will be allowed to have an avatar.

11 - Questionable Content:
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.

Ni kweli anonymous, tunahitaji standard fulani. Vinginevyo ni fujo!!!!

 
At 3:09 PM, Anonymous Anonymous said...

Mheshimiwa Severine,Askofu wa Rulenge, umekuwa bingwa wa kusoma Blog hii. Hongera sana. Tunarudi kwenye mjadala wetu. Sasa mtu anakwenda Maji ya chai. Siku chache picha Mkunde, itakuwa kwenye mtandao. Ya Mkunde, upande mmoja na ya kwako upande mwingine. Kila mtu atahukumu anavyotaka.

Kamalampaka.

 
At 3:16 AM, Anonymous Anonymous said...

Kiongozi wa mjadala himiza wachangiaji. Au wameishiwa ya kuchangia?

Anzisha pia tathmini ya mafanikio ya mjadala huu. Umesaidia kujenga au umekuwa ni umbea na uzushi tu. Kama umesaidia kujenga kwa namna gani?

 
At 4:36 PM, Anonymous Anonymous said...

Mjadala umechangia sana kujenga.Yaliyofichuka, ni msaada mkubwa watu kujirudi. Pia, Askofu Severine, ngoma ya Tabora, imekuwa nzito! Kanisa limestuka kumteua Baba mtoto na mwenye damu mikononi mwake kuwa Askofu Mkuu.

Ninaupongeza mjadala huu.
Kamuhanda.

 
At 10:13 PM, Anonymous Anonymous said...

"Ngoma ya Tabora imekuwa nzito! kanisa limestuka kumteua Baba mtoto na mwenye damu mikononi mwake kuwa Askofu mkuu" tueleze vyema kanisa limemchagua nani? na nivigezo gani unavitumia kuonyesha kuwa kanisa limesh'tuka au ngoma imekuwa nzito? usifanye blog kuwa uwanja wa "Intertainment" Wengine tunajua wazi kuwa sio rahisi kufahamu Uchaguzi wa Maaskofu, na kuwa Kanisa lilikusudia kumchagua huyo unayemsema, na sasa limeshtuka. Tutajuaje pindi atakapochaguliwa kuwa huyo siye kanisa lililomkusudia awe kabla na limepadilisha mawazo kwa sababu ya mawazo ya blog? Acha kutuchanganya! tueleze kinagaubaga kwanini unafikiri "ngoma imekuwa nzito"? sio mambo ya kuandika tu kwenye blog na kufikiri uta wahadaa wote wanaosoma blog hii! tueleze!!

 
At 5:56 AM, Anonymous Anonymous said...

Wachangiaji, tuzingatie ushauri uliotolewa kuhusu lugha tunayotumia kutoa maoni yetu vinginevyo tutaharibu kitu kizuri ambacho blog inajaribu kukifanya.

 
At 3:54 PM, Anonymous Anonymous said...

Kama nimesama uongo, basi tusubiri. Ukweli ni kwamba ngoma imekuwa nzito. Uchaguzi wa maaskofu ni siri iliyo wazi. Wanatumia siri, lakini inapitia kwa watu, ambao daima wanabaki kuwa binadamu. Askofu Severine, alikuwa ameanza kufunga mizigo na kuaga! Pole mzee!

Kamuhanda.

 
At 4:05 PM, Anonymous Anonymous said...

Askofu Severini afanywe askofu mkuu wa Tabora, asifanywe, hiyo ni shauri ya Roma. Nadhani blog inachojaribu kufanya ni kuweka wazi ukweli juu ya Severini ili wanaohusika na uteuzi wa mtu kama kama yeye wajue. Kanisa linaendeshwa kisiri siri sana. Wakati umefika wa kutoboleana mambo na kufanya watu wajue kuwa sote tu wakosefu hata kama tu viongozi. Ni vema viongozi wetu wa Kanisa wajue pia kuwa wanatakiwa kujinyenyekesha na kutotanguliza "utakatifu" wao kama Severini alivyohadaa ulimwengu alipoanza kazi ya uaskofu Rulenge. Alitaka dunia iamini kuwa yeye peke yake katika jimbo lile ndiye aliyekuwa bila mawaa, kumbe alikuwa na mke na mtoto pembeni. Si aibu hiyo?

 
At 6:12 PM, Anonymous Anonymous said...

Sawa hayo nimeyasoma, lakini mimi sidhani kama ni busara kuanza kuandika mambo mabaya wa wengine je ya kwako je? utafurahi endapo yatachapishwa? pia sidhani kama kuna mtu mwenye ushahidi wa kina kuhusu hayo yanayosemwa, hivyo tuogope hukumu ya Mungu. Tumwachie Mungu hayo. Tuandike zaidi mambo yenye kujenga majungu hayana maana. Asanteni kwa wapenda maendeleo!

 
At 12:16 PM, Anonymous Anonymous said...

Mimi niliyeandika hapo juu si kiongozi wa Kanisa. Ni mlei tu. Ningekuwa Askofu Severini ningeishajiuzuru uongozi zamani. Huwezi kufanya kashfa za namna hiyo ukaendelea kuishi "double life." Uaskofu ni cheo kizito kwa sababu kinapaswa kusimamia maadili. Askofu anatakiwa kuwa mfano mzuri kwa kondoo wake vinginevyo anapaswa kuachia ngazi na kuishi mafichoni akisali na kuomba huruma ya Mungu. Mifano ya maaskofu kama hao ipo.

 
At 2:51 AM, Anonymous Anonymous said...

Ninyi mnamhukumu mtu kwa makosa ambayo hayana uthibitisho, tena mnadai kuwa aliyatenda kabla hajapewa madaraka aliyo nayo.

Mnaonekana nia yenu ni kuchafua jina lake kwa sababu ya chuki inayoonekana wazi katika hoja zenu. Ndio maana mtu yoyote mwenye busara akihoji hoja zenu, hamjibu hoja, bali mnakimbilia kusema ni yule mliyemhukumu anajitetea.

Madaraka aliyo nayo hapo alipo yanadai maadili yale yale hata kama angeenda Tabora. Kama madai yenu yangekuwa kweli, na kwamba ndiyo yamefanya asiende Tabora, basi angelazimishwa pia kujiuzulu.

Kumbukeni kuwa kama mna mnadhani mna ukweli, na pia kama mna nia ya kusaidia, mngepitia njia ambazo zingeweza kumsaidia. Mngeweza kupeleka mambo hayo kwa Balozi wa Papa, na si kwenye blogspot. Huu ni usengenyaji. Na kama ninyi mnakerwa na maadili, mnapaswa kuwa waadilifu. Lakini tabia ya usengenyaji ni kinyume na uadilifu.

Kumbukeni mfano wa yule mama wa Biblia aliyefumaniwa akizini. Waliotaka kumuua kwa mawe waliambiwa na Bwana Yesu: "Asiye na dhambi awe wa kwanza kumptupia jiwe" wakaondoka wote kwa kutahayari. Msihukumu, ni Mungu Pekee ndiye mwenye mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwenye Haki.

Kumbukeni kuwa chuki na hasira ni mizizi ya dhambi, na kusengenya ni sawa na kuua!!!

 
At 5:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Bomu limeishapasuka! Kama ilivyotabiriwa Askofu Severini hakuteuliwa kuwa Askofu Mkuu. Tutake tusitake, ni dhahiri kuwa kilio cha watu kimesikika. Ingekuwa aibu kubwa kwa NiweMugizi kupandishwa cheo. Kwamba hajaombwa na Roma kujiuzuru haimaanishi kuwa Roma haioni ukweli. Mambo ya Vatikano huenda taratibu sana na ikibidi kimya hutawala ili kulinda heshima ya Kanisa. Aliyelalamika kuwa Balozi wa Papa hajahabarishwa ana uhakika gani?

 
At 7:12 PM, Anonymous Anonymous said...

Longa nisilonge?????? longa longa

 
At 7:19 PM, Anonymous Anonymous said...

Basi kwenye vile visiwa vya marashi kule Zanzibari fagio la chuma limepita huko. Mwishowe inasemakana kwamba baada ya chikira na Telesephora kwenda kwa maganga wa kieneyeji kule Mshambawima kuzuia uhamisho pamoja na mambo ya aiibu waliyoyafanya sasa Telesephora yupo Kwa-Mndolwa kwenda kukarabatiwa

 
At 7:23 PM, Anonymous Anonymous said...

Jamani unasema nini eti!!!!!!Yaani kuhani mzima na sista wakazubutu kwenda kwa mganga wa kienyeji Mshambawima Kule Zanzibar. Aibu Hiyo. Kwa kweli kijana amewekewa limbwata kutoka Mazinde

 
At 7:30 PM, Anonymous Anonymous said...

Siyo hayo tuu kaka yangu yapo mengine makubwa. Tulipokuwa Mezani Telesephora alipoambiwa kuhusu kuagwa na jumuiya, mtoto wa kitusi aliruka kama murani wa Kimasai na kusema fedha zitakozotumika kununua vyakula na vinywaji zikasomee misa marehemu!!!!!.Kwa masikitiko, Mashoste wote tulishika mdomo na kuduaa. Tafakari ikaja kwamba kwenda Mshambawima kwa mganga wa kienyeji kulikuwa na maana yake yaani wanataka kwenda na mtu. Nani??? Ni siri ya hao wapiga bao

 
At 7:39 PM, Anonymous Anonymous said...

Mara baada ya kufika hapa Kwa-Mndolwa yalikuwa ni makubwa zaidi kwani Kitu cha kwanza Teles aliomba Likizo na kwenye simu alisikika kwa mbali akiongea na Baba chiki Kwamba amtumie pesa mapema kwani Mama yake huko Mazinde amemuahidi kumpeleka huko Upareni milimani na hapo Handeni kwa Wazigua ili kusudi wawamalize wabaya wao kwa Waganga ambao ni moto zaidi kuliko wale wa Mshambawima. Mwishowe Telesphora akamalizia kwenye simu kwa kumwambia kwamba atakapokuja na gari akienda Thame asisahau kuchukua mizigo yake aliyoiacha Dar tena aje na fedha za kumalizia lile Jengo la kifahari pale Mazinde nyumbani.

 
At 7:42 PM, Anonymous Anonymous said...

Hee kumbe Chikira ana gari?????

 
At 7:46 PM, Anonymous Anonymous said...

Mwenzio alipata mkono mzito hapo Zenji. Gari yenyewe ameificha hapo Segerea seminary, tena imeandikwa Catholic Diocese of Zanzibar. Suzuki Jmmny Safi!!!!!!!!!!!!

 
At 7:51 PM, Anonymous Anonymous said...

Eee Bwanae, kama imeandikwa Catholic Diocese of Zanzibar ina maana hiyo ni mali ya kanisa sio ya kwake. Tena Baba Rector wa Segerea angepaswa kuirudisha Zanzibar, ikafanye shuhuli za kichungaji huko.

 
At 7:54 PM, Anonymous Anonymous said...

Kumbe ndio maana Teles alikuwa anamsifia mumewe kwamba ana gari mpya!!!!!!!!Hajui Magari yote Makuhani waliyo nayo ni mali ya kanisa????????

 
At 8:03 PM, Anonymous Anonymous said...

Kuhusu kwenda kwa mganga wa kienyeji kwakweli imeniipasua nyongo yangu. Basi ngoja niwape yaliyonipata tulipokuwa hapo Roma. Basi bwana siku moja Telesephora alipika chakula akanialika pale mahali alipokuwa akikaa...Nikaenda nikala chakula kitamuuu, lakini yaliyonipata usiku wa manane nilishika adabu. Yaani ndugu zangu nilijikuna kama Koboko. Dawa ya kuondoa kujikuna Niliipata niliporuda hapa bongo baada ya kumaliza masomo yangu. Ndio maana nikikutana na huyo mama ninapita mbali maana ninajua kwamba ana kitu mbaya

 

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI