Sunday, September 25, 2005

Mamilioni wanaishi Kwa umasikini wa kupindukia Marekani

Wamarekani zaidi ya milioni 37 wanaishi kwa umasikini mkubwa. Hii ni kama asilimia kumi ya wamarekani wote na ni kubwa kuliko idadi ya watanzania wote. Soma mwenyewe habari hiyo HAPA

0Comments:

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI