Monday, May 16, 2005

Umoja Wa mataifa wamkemea Daktari

Yule Daktari niliyewaambia anapinga dawa za kuongeza maisha kwa waathirika wa UKIMWI na badala yake kusisitiza vitamini amepigwa mkwara na umoja wa mataifa. Nimepata hii habari toka kwenye mlolongo fulani wa barua pepe sijuhi ilitoka kwenye chombo gani cha habari. Naiweka hapa ili muisome.

1Comments:

At 11:09 AM, Anonymous Anonymous said...

kisa hiki kinazidi kuwa kitamu. tupe

 

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI