Wednesday, October 19, 2005

Paper ya Prof. Othman

Profesa Haroub Othman wa Chuo Kikuu cha DSM alikuwa msemaji Mkuu kwenye Mhadhara wa Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ulioandaliwa na chuo hiki hapa tarehe 14/10/2005. Mada aliyotoa ilikuwa: Nyerere an Intellectual in Power. Isome kwa kubonyeza hapa

1Comments:

At 4:47 PM, Blogger mwandani said...

nimeperuzi kwa haraka. hii pepa. Ahsante

 

Post a Comment

<< Home

KITABU CHA WAGENI